Kwanini serikali inakuwa mshindi tuu kwenye kila kesi ya migomo?

Wild fauna

JF-Expert Member
Apr 22, 2012
461
189
Salam jf
inakuwa ni vp kila serikali inapokimbilia mahakamani yenyewe ndio inakuwa mshindi? Does it mean kuwa yenyewe iko perfect wakati wote?
Mathalani tazama migomo ya madaktari pamoja na walimu,hivi ni kweli haya makundi yalikurupuka na hayakuwa na hoja za msingi?
Ni kwa vp mahakama imetuaminisha kuwa ni chombo cha haki?
 
Serikali hata siku moja haiwezi kua mshindi. Wagonjwa kufa bila sababu na wanafunzi kutosomeshwa huo ushindi wanautoa wapi. Mahakama sio chombo huru hata jaji augustino ramadhani alishawahi kusema mahakama inaingiliwa sana na serikali kwenye maamuzi yake. Ingekua ni chombo huru wasingesema hiyo migomo ni batili.
 
Hilo liko wazi, serikali inaziamuru mahakama kutoa hukumu in its favour! Lakini tunakoelekea siko,wananchi tayari wameshapoteza imani na mahakama,kuna wakati mahakama zitatoa amri hazitosikilizwa na zitabezwa na huo ndo utakuwa MWANZO WA MWISHO
 
Salam jf
inakuwa ni vp kila serikali inapokimbilia mahakamani yenyewe ndio inakuwa mshindi? Does it mean kuwa yenyewe iko perfect wakati wote?
Mathalani tazama migomo ya madaktari pamoja na walimu,hivi ni kweli haya makundi yalikurupuka na hayakuwa na hoja za msingi?
Ni kwa vp mahakama imetuaminisha kuwa ni chombo cha haki?

Halafu ikija kwenye kesi kama za Dowans lazima ishindwe. Je unaelewaje? Tafakari na chukua hatua.
 
Hilo liko wazi, serikali inaziamuru mahakama kutoa hukumu in its favour! Lakini tunakoelekea siko,wananchi tayari wameshapoteza imani na mahakama,kuna wakati mahakama zitatoa amri hazitosikilizwa na zitabezwa na huo ndo utakuwa MWANZO WA MWISHO

Mahakama inaingiliwa sana sasa hivi,haziko huru tena,yani imefikia mahali ukiwa una dai haki yako halafu serikali inakuambia nenda mahakamani unajua ndio kwisha hivyo.
 
Halafu ikija kwenye kesi kama za Dowans lazima ishindwe. Je unaelewaje? Tafakari na chukua hatua.

Mahakama ni Chombo cha kuisaidia serikali,kudhurumu,kuiba na kunyanyasa wanyonge,mimi binafsi sina imani na mahakama hata kidogo.
 
Hilo liko wazi, serikali inaziamuru mahakama kutoa hukumu in its favour! Lakini tunakoelekea siko,wananchi tayari wameshapoteza imani na mahakama,una wakati mahakama zitatoa amri hazitosikilizwa na zitabezwa na huo ndo utakuwa MWANZO WA MWISHO

Na kweli kama mwendo wa mahakama ndio huo, kuna siku watu watakataa kutii amri za mahakama maana si za haki. hawa majaji wa EPE ndio tatizo lao. Amewajaza bila sifa hata kidogo.
 
Back
Top Bottom