johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,915
- 141,874
Kwa mfano swala la wabunge wa CCM kutaka kilimo cha bhangi kihalalishwe maoni yaliyotollewa na mh Msukuma na mh Kishimba yametupiliwa mbali.
Lakini mawazo kama hayo yangetolewa na Chadema, serikali ingedai itayafanyia utafiti wa kisayansi.
Ninachojiuliza Wabunge wa CCM wanafeli wapi?
Maendeleo hayana vyama!
Lakini mawazo kama hayo yangetolewa na Chadema, serikali ingedai itayafanyia utafiti wa kisayansi.
Ninachojiuliza Wabunge wa CCM wanafeli wapi?
Maendeleo hayana vyama!