Hili ni swali muhimu sana kwa watanzania kujiuliza. Ni ufikiriaji ambao kwa sasa ni muhimu kwa watu wengi lakini kwa bahati mbaya watu wamejikita kwenye mijadala ya mbele,lakin kaka umeleta sehemu muhimu ambayo inabidi iwe mwanzo wa safari yetu na uviko19.Jee Corona ipo au haipo Tanzania? Na kama ipo jee ulitaka nini kifanyike ili kuokoa maisha ya watu?
There is no such a thing "conspiracy ". It is a term coined by a rouge state intelligence to discredit free thinkers. Unfortunately, It is working for most of people around the world. I am not sure either you are among them or not!conspiracy