Kwanini Serikali haijengi Techinical College Kanda ya Ziwa badala yake wanarundika vyuo vyote Dodoma?

Nadhani umeeleweka nusu na nusu iliyobaki ni robo tu ya wadau ndo wamekuelewa. Vyuo ni chachu kubwa ya maendeleo mahala husika na ndo maana kila nchi ina chuo chake kwanza. Ukiachia elimu na tafiti kuzunguka eneo chuo kilipo, uchumi unakuwa kwa haraka sana palipo na vyuo kwasababu ya shughuri nyingi za kibinadamu kuongezeka, watawala isipokuwa jpm r.i.p alijitahidi na wenzie wakamchukia ila alikuwa na ndoto as long chato iko lake zone basi iwe faida kwa zone in btn wamemuua. Tunasidia sana kuendeleza kwa waswahili make vyuo vinawapa uchumi japo wao wamekalia kuwa madalali wa nyumba na m.ntilie
Morogoro ina vyuo vikuu kibao SUA, MZUMBE, JORDAN, MUM etc je kwenye big 5 ya mikoa yenye mapato makubwa ipo???
 
Back
Top Bottom