Filosofia ya Rorya
JF-Expert Member
- Sep 20, 2021
- 3,214
- 3,587
Kulikuwa na kizungumkuti gani na kigugumizi gani kwa Mwenyekiti wa CCM Taifa Rais Magufuli (deceased) kutotekeleza kwa 100% ripoti ya Tume ya chama ya Bashiru Ally?
Je, kutotekeleza ripoti hiyo siyo kwamba inaashiria matumizi mabaya ya rasilimali za chama kwa Tume hiyo ambayo sasa ni kama "work done zero" kama ilivyokuwa kwa Tume ya Jaji Warioba ya mabadiliko ya Katiba ambayo nayo "work done zero"
Je, kutotekeleza ripoti hiyo siyo kwamba inaashiria matumizi mabaya ya rasilimali za chama kwa Tume hiyo ambayo sasa ni kama "work done zero" kama ilivyokuwa kwa Tume ya Jaji Warioba ya mabadiliko ya Katiba ambayo nayo "work done zero"