Kwanini ripoti ya Bashiru Ally haikutekelezwa na Magufuli?

Filosofia ya Rorya

JF-Expert Member
Sep 20, 2021
3,214
3,587
Kulikuwa na kizungumkuti gani na kigugumizi gani kwa Mwenyekiti wa CCM Taifa Rais Magufuli (deceased) kutotekeleza kwa 100% ripoti ya Tume ya chama ya Bashiru Ally?

Je, kutotekeleza ripoti hiyo siyo kwamba inaashiria matumizi mabaya ya rasilimali za chama kwa Tume hiyo ambayo sasa ni kama "work done zero" kama ilivyokuwa kwa Tume ya Jaji Warioba ya mabadiliko ya Katiba ambayo nayo "work done zero"
 
Kulikuwa na kizungumkuti gani na kigugumizi gani kwa Mwenyekiti wa CCM Taifa Rais Magufuli (deceased) kutotekeleza ripoti ya Tume ya chama ya Bashiru Ally? Je, kutotekeleza ripoti hiyo siyo kwamba inaashiria matumizi mabaya ya rasilimali za chama kwa Tume hiyo ambayo sasa ni kama "work done zero"
Ukuona channel ten ikirudishwa?au ulitaka utekerezaji upi?
 
Kulikuwa na kizungumkuti gani na kigugumizi gani kwa Mwenyekiti wa CCM Taifa Rais Magufuli (deceased) kutotekeleza ripoti ya Tume ya chama ya Bashiru Ally? Je, kutotekeleza ripoti hiyo siyo kwamba inaashiria matumizi mabaya ya rasilimali za chama kwa Tume hiyo ambayo sasa ni kama "work done zero"
Sababu angewagusa wastaafu wengi, hivyo maisha yake kuwa magumu.
 
huyo bashiru na kundi lake bora usiwataje kabisa. unakumbusha watu maumivu. sijui atafanya kazi gani 2025 na hajafungua tv ya yutube kama mwenzake polepole.
Kazi yako wivu. Bashiru hata asipopewa ubunge au kazi serkalini siyo kwamba atasota kama wewe mwenye wivuy ya kike. Bashiru alitokea chuo kikuu na alikuwa mwalimu huko na akitaka anaweza kurudi maana hakuondoka kwa ubaya. Wewe kila kitu maumivu na yartazidi pale CHADEMA itakapokufa kifo cha mende. Mbowe mwenyewe anaabudiwa kama Kabaka wa Bagana, akitembea na mke wako utawatangazia CHADEMA wote kuwa wewe ndiyo unapendwa na Mbowe maana kasuzia uchafu wote wa jela kwa mkeo. Grow up. Be yourself! It is as if you cannot live without Mbowe!
 
Ripoti 80% ilikuwa imejaa majungu na fitina. Ilielezea watu zaidi kuliko mali.
Mzee akaona huyu jamaa anataka cheo tu akampa uKM wa chama.
 
Kulikuwa na kizungumkuti gani na kigugumizi gani kwa Mwenyekiti wa CCM Taifa Rais Magufuli (deceased) kutotekeleza ripoti ya Tume ya chama ya Bashiru Ally? Je, kutotekeleza ripoti hiyo siyo kwamba inaashiria matumizi mabaya ya rasilimali za chama kwa Tume hiyo ambayo sasa ni kama "work done zero"
Magufuli alikuwa na makandokando mengi
 
Kazi yako wivu. Bashiru hata asipopewa ubunge au kazi serkalini siyo kwamba atasota kama wewe mwenye wivuy ya kike. Bashiru alitokea chuo kikuu na alikuwa mwalimu huko na akitaka anaweza kurudi maana hakuondoka kwa ubaya. Wewe kila kitu maumivu na yartazidi pale CHADEMA itakapokufa kifo cha mende. Mbowe mwenyewe anaabudiwa kama Kabaka wa Bagana, akitembea na mke wako utawatangazia CHADEMA wote kuwa wewe ndiyo unapendwa na Mbowe maana kasuzia uchafu wote wa jela kwa mkeo. Grow up. Be yourself! It is as if you cannot live without Mbowe!
Hata Kama hatasota lakini maumivu ya ndani kwa ndani ataish nayo sauna chezea wewe psychological torture. Acha liumie tuu hanna namna
 
Back
Top Bottom