Kwanini replacements zote ni UDSM?

Mi nakuwa nafikiria tu hao alowateua wakiharibu atawafanyeje na huko UD wanazidi kupungua,au ndo utakuwa mwisho wa kutumbua?
Nawaza tu kwa sauti!!
 
Ndio watu wenye uelewa sana na hata alama za wanaopangiwa pale si kama za vyuo vingine vile vya kata... asilimia 90 ya viongozi wote wa umma wamemalza pale
Kwahiyo na nchi yetu kubarikia na raslimali zote hizo lkn bado maskini hao wasomi wa UDSM wamesaidia nini mkuu...Au uwezo wa kuandika madesa na kunakiri thesis za watu wengine ndo uelewa
 
Kwa sababu ndio waliomfundisha JPM mpaka akaelewa na kuwa raisi.Kwahiyo ana historia nzuri na UDSM.Sasa wewe nenda sijui ROIKO uone kama utaitwa ha ha ha
Wewe jamaa ni noma kwahiyo ile Pichidi walimpa wao
 
Kila anayetumbuliwa, mbadala wake utatoka chuo kikuu Dar Es Salaam, kuna nini jamani?
wanaofanya vetting awamu hii wameona kitu gani chuoni hapo?
Kuna hasara ya idara kupata misukosuko maana wengi ya wateule ni watu very seniors kwa maana ya levels za taaluma, mwenye PhD akitolewa kuna kazi kuumba mwingine, siku zote tumekuwa na idadi ndogo za wafanyakazi wa umma na vyuo vikuu navyo vinaumia kama idara nyingine za umma. kwa awamu hii nadhani Zaidi ya watu 10 wameshateuliwa kwa nafasi mbalimbali! sijui itakuwaje hadi majipu yote yakiisha, tutaanza kuumba tena wakufunzi wabobezi wapya!
mamlaka za uteuzi naomba zizingatia majukumu ya hawa watu na uhitaji wa chuo, sio kuwanyang'anya tu UDSM, chuo kita-suffer!
kwani mwenye Phd akituliwa kuwa DG au MD sehemu ndio inakuwa mwisho kufundisha au kufanya kazi za kitaaluma?
DR.Gharib Bilal alikuwa makamu wa Rais,lakin alikuwa anapita UDOM siku moja moja
 
UDSM ni zaidi ya chuo, ndio engine ya Tanzania bahati mbaya mfumuko wa vyuo nchini unalifanya hili lisionekane. Kiukweli pale it's a Home of intellectuals sasa sijui angeenda wapi zaidi ya UD kuwapata hao intellectuals .
 
Hicho ndio chuo kikuu cha Taifa,vingine ni vyuo vya serikali sasa kulijenga Taifa lazma uwatumie wana chuo.wa Taifa
 
Hujielewi!
UDSM kilianza baada ya uhuru na hadi 70s faculties zote zilikuwa zimeshatimia.
kwa wazee wanaokuwa serikalini, sasa kama watakuwa wamesoma chuo kikuu nchini unadhani watakuwa wametoka Tumaini?
Lakini hoja sio ufaulu wa walimu au wanafunzi bali teuzi za uongozi wa kisiasa ambapo so far hakuna evidence kuwa wako vema kuliko yeyote aliyeondoka!
rejea: elimu, TBC, Viwanda, etc hatuoni jipya lolote kwa karibu miezi 16 sasa!
Na hili suala la vyuo vya kata unalitoa wapi?
Vyuo vya kata huvijui kwani?

Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
 
тнe нoмe oғ ιnтelecтυalѕ ĸaмa wee нυjaвaнaтιĸa ĸυѕoмa вaѕι jιтaнιdι мwanao aѕoмe нιcнo cнυo

.
 
Ndio watu wenye uelewa sana na hata alama za wanaopangiwa pale si kama za vyuo vingine vile vya kata... asilimia 90 ya viongozi wote wa umma wamemalza pale
Ni kweli kabisa na walipoifikisha nchi kila mmoja anapajua,"Maisha bora" kwa kila MTanzania hakika tunayaona.
 
Hizi ni hoja za kitoto sana!Tunapozungumzia mafanikio ya kampuni huwezi kuzungumzia PhD. Chukulia watu kama Bakhresa,Bill gate ambaye hakumaliza hats chuo kikuu,akina Dangote nk.Wewe unaongelea PhD INA msaada gani kwenye uchumi hats kama MTU ana GPA ya 5?
Chief dangote ana degree amesomea Misri hapo.
 
Hivi SEKUCO, SJUT, SAUT, SUPUKA, UDOM, THE AMAZON, ST JOSEPH, n.k kuna wasomi huko?

kama wapo mbona wahitimu wao wako shallow, haajiriki na wanatengwa na waajiri?

acha mkuu achukue wabobezi toka chuo kongwe lenye sifa lukuki.
 
Kwa ujumla na kwa tathmini yangu UDSM wanajitahidi ukilinganisha na wahadhiri wa vyuo vingine nchini kwa kuwa na wahadhiri wenye elimu kutoka vyuo vya kuaminika duniani na ambao ni wazuri kitaaluma. Ushahidi ni vyuo walivyosoma na wingi pamoja na ubora wa research publications zao. Siyo wote lakini wahadhiri wengi wa UDSM wapo vizuri japo wao wenyewe hawatoi elimu nzuri kwasababu ya siasa zilizo nje ya uwezo wao (e.g. Mhadhiri mmoja kupewa darasa la wanafunzi 300-500 kufundisha). Chuo kinachofuatia ni SUA na cha tatu ni Mzumbe. Vyuo vingine vya "kata" pia wapo wahadhiri wazuri ila wachache sana. Anachokosea Rais ni kudhani kwamba academician mzuri lazima atakuwa administrator mzuri.
 
Kila anayetumbuliwa, mbadala wake utatoka chuo kikuu Dar Es Salaam, kuna nini jamani?
wanaofanya vetting awamu hii wameona kitu gani chuoni hapo?
Kuna hasara ya idara kupata misukosuko maana wengi ya wateule ni watu very seniors kwa maana ya levels za taaluma, mwenye PhD akitolewa kuna kazi kuumba mwingine, siku zote tumekuwa na idadi ndogo za wafanyakazi wa umma na vyuo vikuu navyo vinaumia kama idara nyingine za umma. kwa awamu hii nadhani Zaidi ya watu 10 wameshateuliwa kwa nafasi mbalimbali! sijui itakuwaje hadi majipu yote yakiisha, tutaanza kuumba tena wakufunzi wabobezi wapya!
mamlaka za uteuzi naomba zizingatia majukumu ya hawa watu na uhitaji wa chuo, sio kuwanyang'anya tu UDSM, chuo kita-suffer!
Kwa sababu UDSM ndiyo Alma Mater ya mkuu wa kaya - which means hana independent advice.
 
Nataman cku moja itokekee mh badala ya kuteua atangaze tu nafas ya kaz fulan imetolewa na rais aweke sifa tuone je kuna watanzania wenye nia na nchii hii wataomba kama mh alivyoomba kwetu tukampa bila kinyongo na kazi anaifanya kwa moyo
 
UDSM NDIO CHUO KIKUU NA KINA VICHWA BALAA..HUWEZI KUKIFANANISHA NA CHOCHOTE HAPA TZ HATA EAST AFRICA
Na ndio viongozi wengi wa taifa hili waliposomea alafu nchi bado tia maji tia maji...... Think wise afu soma ulichokiandika
 
Ulitaka zitoke wapi? Wewe ni Nyumbu au li Chadema nini?

Tafuta tu mabasha kinguvu, inaonekana umechoka kukaa kwenye kiti vizuri hivyo unataka kitu cha kutanua hilo tundu la tope hapo nyuma. Kwa taarifa yako hapa utapata unachokitafuta na hakuna anayeali harufu, tutachonokoa huo ugali wote wa maharage hapo nyuma.
 
It seems Raisi amekosa imani na products kwa hiyo ameamua kuichukua production line imsaidie. Simlaumu Mh Raisi ila kama nchi tuna safari ndefu ukiona products za Chuo zimeshindwa kuzaa matunda inabidi tuchukue shina au tawi kabisa
 
Back
Top Bottom