mende 2014
JF-Expert Member
- Apr 13, 2014
- 763
- 131
Mengi utumia muda mrefu kuongea ITV kuliko viongozi wengine wa nchi akiwemo rais. Je, ni kwanini?
Na wewe fungua yako ata ukijiweka siku nzima ni poa tu utajuana na wadhamini wako.
Yule ndio mwenye kituo lazima apewe heshima hiyo ya kipekee kuleta utofauti .usilalamike fungua yako
Ile tv ni yake kwa nii asiuze sura atakavyo.Mengi hutumia mda mrefu kuongea ITV kuliko viongozi wengine wa nchi akiwemo rais. Je, ni kwa nini?
Na wewe fungua yako ata ukijiweka siku nzima ni poa tu utajuana na wadhamini wako.
Yule ndio mwenye kituo lazima apewe heshima hiyo ya kipekee kuleta utofauti .usilalamike fungua yako
Obvious question obvious answers,sioni tija ya kufungua Uzi Kwa swala lililoko wazi namna hii
Akili fupi sana hii, Mbona mmiliki wa Star TV hutakaa umuone hata siku moja kwenye TV yake. Kama na mmiliki wa CNN angekuwa anajiweka kwenye TV yake sijui ingekuwaje. Wale waandishi wa ITV ni makanjanja wanadhani wakimuweka bosi wao muda mrefu ndio atawapenda zaidi.shame on them!!!
Kuna kitu cha kujadili hapa jibu swali sio unajifanya eti hakuna swala la kujadili hapa. eti bakhresa na yeye awe anajiweka kwenye kioo cha Azam TV muda mrefu kama Mengi? hiyo haitawezekana kamwe.