Kumbe zipo!
Hiyo Flightlink ni kampuni ya nani, na gharama zake zipojeKwenye safari zake zote za kwende dar ama dodoma amekuwa akipanda ndege za flightlink badala ya ndege za serikali ni kwanini?
View attachment 1766249View attachment 1766250View attachment 1766251
MpigajiKwenye safari zake zote za kwende dar ama dodoma amekuwa akipanda ndege za flightlink badala ya ndege za serikali ni kwanini?
View attachment 1766249View attachment 1766250View attachment 1766251
Walikuwa nayo Tanganyika wameiyiba walivyo wezi wabobezi wamefuta mpaa ushaidi.Serikali ya Zanzibar haina ndege!
Zile bombadia kule kwenu tanganyikia zilitokana na kodi zipi? au tufukue makaburi tenaSerikali ya Zanzibar haina ndege!
Nani mtanganyikaZile bombadia kule kwenu tanganyikia zilitokana na kodi zipi? au tufukue makaburi tena
uyu mke wa Rais mwinyi amefanana na aliekuwa mke wa mchezaji wa Simba wa zamani, alikuwa anaitwa Method Mogella(kilaka)........au ndio uyu aliolewa na mwinyi baada ya kufa MethodKwenye safari zake zote za kwende dar ama dodoma amekuwa akipanda ndege za flightlink badala ya ndege za serikali ni kwanini?
View attachment 1766249View attachment 1766250View attachment 1766251
Mnachangia nini kwenye budget ya serikali ya muungano?Zile bombadia kule kwenu tanganyikia zilitokana na kodi zipi? au tufukue makaburi tena