Kwanini Rais Samia unafanya maisha yetu Watanzania kuwa magumu hivi?

Tatizo si SSH.Tatizo ni sisi wananchi.Kama miaka 60+ hata maji safi,madarasa,vidaraja na zahanati sehemu nyingi ni hadithi za kufikirika,unadhani ndani ya miezi 4 atafanya nini cha ajabu?
 
Mama anafungua nchi!

Mama anawakomesha mataga na sukuma gang

Mama anaupiga mwingi sana!

Maama ana rudisha hela mtaani ili sisi mibavicha tuwe tunaziokota.

Polepole na Bashiru wanakiona cha moto!
Huko waliko wamekaa wanajiuliza,tutawaambia nini wananchi,maana tulichekelea alipokufa mwendazake.sasa mama anawanyoosha sio kitoto,tukianza kumsema na tulimsifia tutaonekana hatuna msimamo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…