pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 19,030
- 15,232
Huu mwezi wa rozari kwa sie wakatoliki, kila mtu ajiombee na aombee familia yake.
Kama Mungu hayupo? (nadhani unanielewa kwa swali langu)... inawezekana Mungu hayupo hivyo kupoteza muda.Kama tunataka au hatutaki Mh, Dr, na Rais Magufuli ndiye rais wa Tanzania. Maamuzi yake yana athiri kila mtu, anayeishi Tanzania, Awe Mkristo, Muislam, dini yeyote hata asiye na dini. Anachoamua kima mazara kwa kila mtu.
Based kwa kanuni za ki kristo, haijalishi una mtazamo gani kumhusu, ni Lazima umuombee, zaidi kabisa tunapoona anapata changamoto nyingi sana, hizi changamoto will soon or later have effects in our lives.
TUJITAHIDI SANA SANA KUMUOMBEA RAIS WETU NA MUNGU AMSAIDIE AENDELEE KUWA NA HEKIMA KUFANYA MAAMUZI YATAKAYOTUSAIDIA. TUKIACHA KUMUOMBEA HATUMKOMOI, TUNAJIKOMOA WOTE.
Maombi yote tangu issue ya Lissu yanaratibiwa na polisi.Pengine utuambie km yamesharuhusiwa tena.Kama tunataka au hatutaki Mh, Dr, na Rais Magufuli ndiye rais wa Tanzania. Maamuzi yake yana athiri kila mtu, anayeishi Tanzania, Awe Mkristo, Muislam, dini yeyote hata asiye na dini. Anachoamua kima mazara kwa kila mtu.
Based kwa kanuni za ki kristo, haijalishi una mtazamo gani kumhusu, ni Lazima umuombee, zaidi kabisa tunapoona anapata changamoto nyingi sana, hizi changamoto will soon or later have effects in our lives.
TUJITAHIDI SANA SANA KUMUOMBEA RAIS WETU NA MUNGU AMSAIDIE AENDELEE KUWA NA HEKIMA KUFANYA MAAMUZI YATAKAYOTUSAIDIA. TUKIACHA KUMUOMBEA HATUMKOMOI, TUNAJIKOMOA WOTE.
Wewe ni halali ya mwenyezi Mungu, hatakahi ujingaMimi namuombea kila siku negative maombi
Nchi yetu haina dini ndo maana lissu alizuiwa kuombea hata mkuu harusiwi kuombewa kama Mungu ameruhusu Tanzania ipitie magumu sawa,lakini mambo yanavyoendelea nchini yanasikitishaKama tunataka au hatutaki Mh, Dr, na Rais Magufuli ndiye rais wa Tanzania. Maamuzi yake yana athiri kila mtu, anayeishi Tanzania, Awe Mkristo, Muislam, dini yeyote hata asiye na dini. Anachoamua kima mazara kwa kila mtu.
Based kwa kanuni za ki kristo, haijalishi una mtazamo gani kumhusu, ni Lazima umuombee, zaidi kabisa tunapoona anapata changamoto nyingi sana, hizi changamoto will soon or later have effects in our lives.
TUJITAHIDI SANA SANA KUMUOMBEA RAIS WETU NA MUNGU AMSAIDIE AENDELEE KUWA NA HEKIMA KUFANYA MAAMUZI YATAKAYOTUSAIDIA. TUKIACHA KUMUOMBEA HATUMKOMOI, TUNAJIKOMOA WOTE.
Daaah mkuu umesababisha nicheke kwa sauti hapa kwa mama ntilie ! Eti tangu lini shetani anaombewaTangu lini shetani anaombewa
Kila mtu apambane nahali yakeKama tunataka au hatutaki Mh, Dr, na Rais Magufuli ndiye rais wa Tanzania. Maamuzi yake yana athiri kila mtu, anayeishi Tanzania, Awe Mkristo, Muislam, dini yeyote hata asiye na dini. Anachoamua kima mazara kwa kila mtu.
Based kwa kanuni za ki kristo, haijalishi una mtazamo gani kumhusu, ni Lazima umuombee, zaidi kabisa tunapoona anapata changamoto nyingi sana, hizi changamoto will soon or later have effects in our lives.
TUJITAHIDI SANA SANA KUMUOMBEA RAIS WETU NA MUNGU AMSAIDIE AENDELEE KUWA NA HEKIMA KUFANYA MAAMUZI YATAKAYOTUSAIDIA. TUKIACHA KUMUOMBEA HATUMKOMOI, TUNAJIKOMOA WOTE.
sio anapata.yeye ndie anasababisha mambo mabaya.sasa tuombe ili mabaya yaendelee au?zaidi kabisa tunapoona anapata changamoto nyingi sana
Hivi tumuombee aendelee kuwa n'a hekima ? Au apate hekima.