Inashangaza kwani alituma kimya kimya???Labda ametuma Ila hatujaskia
Clouds media HAIWAKILISHI WATANZANIA hiyo ni media ya mtu binafsiAmetuma clouds media
Kwake yeye labda ameona clouds media ni muhimu kuliko watanzaniaClouds media HAIWAKILISHI WATANZANIA hiyo ni media ya mtu binafisi
Sizungumzii mambo ya partisan politics/ Siasa za miegamio.Lowassa nafikiri atatuma salamu leo jioni!!
Ulitaka akupigie simu.ndo uamini amekutakia xmass njema?H
Acha kuchanganya madesa.
Hii ni ya kiserikali au ya kichama, iliwekwa kwenye Facebook ya ccm?
Alituma ITV akasema anawatakia merry Christmas na heri ya mwaka mpya kwa wafanyakazi na watazamaji wote wa itv.Kama ilivyo kawaida ya viongozi wa nchi kote duniani. Viongozi hao Hutuma salamu za Krismasi kwa wananchi wao wenye imani ya Kikristo.
Nini kilichomfanya rais kutoona UMUHIMU kuwatakia watanzania Krismasi njema?