Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 9,659
- 16,010
Nimekuwa nafuatilia ziara za Mh.Magufuli mikoani lakini kwa muda mrefu sijamuona akifanya ziara visiwani Zanzibar . Najiuliza hii ni sawa? Au kuna mgongano wa Katiba ya Jamhuri ya muungano na ile ya Zanzibar katika masuala ya kiuongozi. Naomba wenye kufahamu hili watuambie.