Kwanini Rais Magufuli anasemwa sana na hawa watu wawili Gado, Kipanya?

chinchilla coat

JF-Expert Member
May 16, 2016
5,107
10,961
13179290_834251386681577_2064413167150960224_n.jpg
Magufuli mbona anasemwa sana? Ni miezi saba tu tangia uongozi wake uanze lakini hivi vibonzo negative ni vingi mno,

Kikwete nae ndani ya uongozi wake mwanzoni alisemwa hivi? najua baade madhaifu yake yalionekana na kusemwa, ila ilikuwa mapema hivi?

ni kweli analikomboa taifa kutoka kwenye umasikini au ndio anatumbukiza kwenye umasikini zaidi? maanake ukiangalia michoro hii inaonyeshwa kama mtu anayefanya mambo bila kuwa na dira wala mahesabu, je ni kweli anafanya vitu bila hesabu au ni propaganda za Gado na Kipanya?

1914486_10153998367259339_7421105697833280630_n.jpg
10155334_768718749901508_4763326043789346502_n.jpg
View attachment 357613
1914486_10153998367259339_7421105697833280630_n.jpg
kp04012016.jpg
June.05.16.Magufuli.Fighting.Corruption-595x450.jpg
Dec-28-15-JPM-What-Road-Map.jpg
CdQjUz3UMAAfcYk.jpg
April-28-16-Magufuli-and-the-Boil-800x800.jpg
April.26.16.Careful.Magufuli.at_.Work_.jpg
13103529_830333300406719_1026401566645139900_n.jpg
 
Hawa jamaa wanaonyesha ukweli mtupu, labda muhusika akiona atajirudi na kukaa chini kujiuliza
 
“The function of the frontal lobe involves the ability to project future consequences resulting from current actions, the choice between good and bad actions (or better and best) (also known as conscience), the override and suppression of socially unacceptable responses, and the determination of similarities and differences between things or events”....Despite jamaa kua na kipululilo kikubwa sana matendo yake yamekua ya hovyo hovyo hayaendani kabisa na functions za hiyo kitu.
 
Back
Top Bottom