Kwanini Rais anatudanganya?

Komaa utapata ukuu wa wilaya
 
Mwandishi amesema hivo kutokana na kauli hizo kupingana na nyenzake just within a short period of time kama alivyonukuu hapo juu,dai lako lingekuwa na mantiki kauli hizo zisingekinzana mpaka 2020 lakini hata1 year haijaisha tayari kauli hizo zinakinzana kama zilivyoorodheshwa!
 
juzi kwa nini hakuomba na tende na halua...
 
Ni muongo kama MACCM menzake we kwenye uchaguzi wa meya wa kinondoni uamuona madabida aliyekuwa anauwa watanzania kwa kutengeneza ARVs feki sasa jiulize
 
Mwaka 1 tu matamko zaidi ya 20...au ndo utashi mpya wa kiutawala
Tumpe muda.. .!!!!
 
 
Coz muda ndo huwa ombi kubwa la mwanasiasa...Asiye kuwa mtekelezaji wa sera kwa wakati...sasa tumpe miaka mingine mitano..
 
Kwakuwa wananchi wengi vichaaa ndo maan inakuwa rahisi kudanganywa
 
Angalia kwanza hiki kibonzo kisha linganisha na yanayotokea hivi sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…