Kwanini Putin aliamua kuwa kapera/bachela?

Kwanini Putin aliamua kuwa kapera/bachela?

Utakapo baka na kutiwa ndani au ukibeba gonjwa la zinaa,ndipo utapojua kuoa au kuolewa ni raha sana na unakua huru.
Hata waliopo kwenye ndoa pia wanapata magonjwa ya zinaa.
Putin ni mwerevu sana maana anajua changamoto ya kuishi na kiumbe chenye akili lakini hakijui kuitumia bali kinatumia hisia.Ni rahisi sana kukuvuruga.
Halafu nani kakwambia kama hujaoa huwezi sex.Unagonga anasepa zake no permanent relationship.
Kwa majukumu aliyonayo ni sawa kabisa kuishi anavyoishi.
Huyu ni mtu anayesaidia kuleta balance of power huku duniani kama angekuwa legelege wale mafala wa pale Washington na ulaya Magharibi wangekuwa wanatamba sana huku duniani.
 
mkuu
yeye ni namba 4 Baada ya US ,china na India

Namba yake ya sm ni +47255657925 yamkononi kabisa mpigie maswali mengine magumu kwetu
 
Unaweza kuta Jogoo hapandi mtungi. Jamaa hana watoto, watoto wake ni wa kufikirika hawajulikani na haina uhakika.
 
baba yake yesu anaitwa nani

Mama yake na baba yake wanaishi pamoja au hapana
Mama yake yesu na babake yesu walifunga wapi ndoa hao?
Je walimzaa yesu wakiwa pamoja au walitengana..
Yesu kalelewa na wazazi wake wote wawili ama?
Je baba ake yesu nae aliishi yerusalem?
 
Utakuta wewe hapo una mke na watoto labda hata wake unao na michepuko juu. Na baba yako asingekuwa na mama yako usingeonekana kabisa. Watu kwa unafiki hamjambo.

Putin hayo ni madhaifu yake tu na wala sio cha kumsifia.
Kupata watoto sio lazima uwe na mke. Ni kuwa na mwanamke tuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom