Kwanini Pasco haipendi serikali ya Magufuli?

Kwanini Pasco haipendi serikali ya Magufuli?

Wanabodi,

Mie nashangaa sana kwanini huyu anayejiita Pasco hapendi chochote kinachofanywa na serikali ya Magufuli. Mbona sijahawi kuona akikosoa matendo mabaya ya watendaji serikalini na wafanyabiashara waliokuwa wanakwepa kodi?

Mbona hata hajawahi kusema chochote juu ya Richmond? Mie nadhani hata kama tuna mahaba na serikali iliyopita na machafu yake, basi tutoe sapport kwa serikali iliyopo ili ifanye kazi yake kama amabavyo wananchi tunataka..
Huyu aliwahi jitia unajimu kwa kusema uchaguzi huu atashinda Lowassa iwe isiwe...sasa haikuwa akaamua idisds mazima CCM na serikali ya JPM
 
wekeni ushahidi basi tujue kama kweli alibadili gia angani. Walau amejitahidi kuwa neutral ktk mabandiko yake mengi tu.
 
Pasco si lolote si chochote ni kama wewe, japo na mchambuzi na mwandishi mahili, hivyo unavyojijengea dhana ya fulan akipenda jambo ndo inakuwa safi uo ni utumwa wa fikra, pasco ni member tu kama wewe hapo , na ana haki ya kupenda au kutopenda serikali ya magufuli,
Kwani ni watanzania wote wanaipenda serikali ya magufuli isipokuwa pasco? Hapana wapo wengi tena wenye kishindo kikubwa wakitamka msimamo wao
 
Wanabodi,

Mie nashangaa sana kwanini huyu anayejiita Pasco hapendi chochote kinachofanywa na serikali ya Magufuli. Mbona sijahawi kuona akikosoa matendo mabaya ya watendaji serikalini na wafanyabiashara waliokuwa wanakwepa kodi?

Mbona hata hajawahi kusema chochote juu ya Richmond? Mie nadhani hata kama tuna mahaba na serikali iliyopita na machafu yake, basi tutoe sapport kwa serikali iliyopo ili ifanye kazi yake kama amabavyo wananchi tunataka..
Kwenye haya maisha..
1. Ukiona unatumia muda mwingi kwenye kujitetea kwa sehemu kubwa ya mambo uyafanyayo JIKAGUE KWENYE KAULI NA MATENDO YAKO
2. Ukijiona unatumia mida mwingi sana kumtetea mtu kwa almost kwa kila anachokifanya.. Jikague na ukague matendo na maneno ya unayemtetea..
3. Ukijiona kila kauli unayoitoa inaleta mijadala isiyo na tija kwako na kwa wanaokuzunguka ... JIKAGUE
4. Ukijiona kila kitu ili kitendwe vile unavyotaka ni LAZIMA UTUMIE UKALI, KAULI NGUMU NA VITISHO..jikague..
5. Ukijiona unawazawaza kuongeza wanaokulinda... JIANGALIE
6. Ukijiona kila anayekuzunguka ni wa NDIYO MZEE jiangalie maana wanakudanganya kuwa unakubalika.. OGOPA SANA KUZUNGUKWA NA WATU WANAOTENDA NA KUYASEMA UNAYOYAPENDA TU BILA KUKUHOJI WALA KUCHANGIA MAWAZO ILI KUBORESHA
 
Pasco si lolote si chochote ni kama wewe, japo na mchambuzi na mwandishi mahili, hivyo unavyojijengea dhana ya fulan akipenda jambo ndo inakuwa safi uo ni utumwa wa fikra, pasco ni member tu kama wewe hapo , na ana haki ya kupenda au kutopenda serikali ya magufuli,
Kwani ni watanzania wote wanaipenda serikali ya magufuli isipokuwa pasco? Hapana wapo wengi tena wenye kishindo kikubwa wakitamka msimamo wao
Unajikontradikti mkuu... mara si lolote wala chochote mara mchambuzi na mwandishi mahili... HAPO PANATOSHA
 
Mkuu Kiimla, hizi ni tuhuma mzito! , kwa kuanzia, naomba kukanushwa kuwa sio kweli kuwa Pasco wa JF hampendi Magufuli na serikali yake, bali Pasco wa JF ni mkweli daima, ambaye siku zote anasema ukweli halisi kwa kutanguliza mbele maslahi ya taifa bila woga ambapo penye mazuri anasifu, penye mabaya anakosoa tena kwa ukosoaji wa nia njema!, yaani constructive criticism with a good faith!.

Hapa chini nimekuwekea japo threads 10 ambazo zote ni za kusifu utendaji wa Magufuli, kuuthibitisha hizi tuhuma zako humu sio za kweli! .

Kuhusu ukosoaji, na usifiaji, unaweza kukuta sisi ambao tunamkosoa Magufuli ndio tunaomsaidia kuliko hao wanaomsifia! .
Karibu mitaa hii and please take time kufungua bandiko moja moja ushuhudie jinsi watu wanavyomkubali Magufuli!.
Magufuli Kama Nyerere:Ni Mtu wa Watu, Hapapasi, Hamung'unyi, Ni ...
Rais Magufuli ni Simple, Genuine & Down To Earth-He is Simply A ...
Magufuli ni Dikiteta!, Tanzania Ilihitaji Dikiteta, Tumempata ...
Magufuli amecapture attention ya Watanzania, Watu wako makini na ...
Ushauri wa Bure Kwa Lowassa: Kwa Vile ni Magufuli, Kubali Matokeo ...
Je, Kasi ya Magufuli itaua Upinzani Uchwara na Kuimarisha Upinzani ...
Kama Magufuli Anaangalia Clouds TV na Kuipongeza, Kunatuma Ujumbe ...
Kwa Kasi hii ya Magufuli, kuna haja Kufanya Uchaguzi wa Rais 2020 ...
Baraza Jipya: Pongezi kwa JamiiForums, WanaJF watatu(VERIFIED ...

Pasco
Huamini nini wakati Magufuli kipenzi chako?
Nimependa hapo tuu uliposema kipenzi chako.

P
 
Wanabodi,

Mie nashangaa sana kwanini huyu anayejiita Pasco hapendi chochote kinachofanywa na serikali ya Magufuli.
Leo Machi 17 ambayo ni Magufuli Day, nadurusu baadhi ya mabandiko yangu humu kumhusu JPM huku nikitafakari, if I was right or I was wrong.
Kwa vile kila zama na zama zake, Pumzika kwa Amani Magufuli wetu huko ulipo.
RIP JPM
Paskali.
 
Back
Top Bottom