Kwanini Palamagamba Kabudi yupo nje ya Baraza la Mawaziri?

kmbwembwe

JF-Expert Member
Aug 16, 2012
10,426
7,213
Nimemsikiliza mbunge Aidan Kabudi akichamgia mjadala bungeni muda sio mrefu. Hakika mchango wake ni bora sana.

Ninalotaka kusema hapa ni kwa nini mtu kama huyu mama amemuweka nje ya baraza la mawaziri. Mtu msomi ambaye ni hazina kubwa tunamtoa badala yake unaweka watafuta kwa nguvu nyingi uwaziri huku ni vilaza wakubwa na wachumia tumbo tu.

Sina haja kuwataja maana wanatajwa kila siku ila mama kwa sababu anazojua mwenyewe anawabeba kwa mbeleko.

Awamu ya tano Magufuli aliweza kuwaleta wasomi wazalendo wengi kwenye kazi za kisiasa na kitaaluma ili taifa liweze kunufaika. Kwamba siasa ni mchezo mchafu inafanya watu wengi weledi kutotaka kugombea nafasi za kisiasa na kubakia kwenye taaluma zao. Matokeo unakuta hawa waliyocheza mchezo wa kisiasa ndio wanaongoza nchi.
 
Kabudi ni nyoka hatari sana, huyu alikuwa miongoni mwa wapanga mikakati ili mama yetu asiwe raisi wa hii nchi. Bahati mbaya janja yao ilijulikana, hivyo hata yeye Kabuni anaelewa kwa nini yupo nje ya baraza, na labda awamu ijayo asiwepo kabisa.

Wasaliti wote wanaondolewa pole pole na kwa akili kubwa.
 
Acha uchawa, huyu ni msaliti, aliwasaliti Watanzania kuutumikai utawala dhalimu wa Magufuli kawa sehemu ya ukatili usiomithirika. Hafai kwa lolote. Ukishakuwa msaliti, hata ungelikuwa Albert Einstein tungelikupiga mawe.
Aliwasaliti nani? Nyie fisadi na wazembe? Aliwasaliti vibwanyenye na vibepari uchwara, watumbuliwa na cheti feki? Nani alikuambia kufanya kazi kwenye serikali ya Magufuli ilikuwa usaliti? Wee uko nchi gani hukuona na huoni jinsi wananchi wanamuenzi Magufuli? Unafikiri kupotea hao vibaraka Ben Saa Nane, Azory Gwanda, hata mkono hawafiki ndio jambo kubwa sana kumhukumu Magufuli?
 
Nimemsikiliza mbunge Aidan Kabudi akichamgia mjadala bungeni muda sio mrefu. Hakika mchango wake ni bora sana.

Ninalotaka kusema hapa ni kwa nini mtu kama huyu mama amemuweka nje ya baraza la mawaziri. Mtu msomi ambaye ni hazina kubwa tunamtoa badala yake unaweka watafuta kwa nguvu nyingi uwaziri huku ni vilaza wakubwa na wachumia tumbo tu.

Sina haja kuwataja maana wanatajwa kila siku ila mama kwa sababu anazojua mwenyewe anawabeba kwa mbeleko.

Awamu ya tano Magufuli aliweza kuwaleta wasomi wazalendo wengi kwenye kazi za kisiasa na kitaaluma ili taifa liweze kunufaika. Kwamba siasa ni mchezo mchafu inafanya watu wengi weledi kutotaka kugombea nafasi za kisiasa na kubakia kwenye taaluma zao. Matokeo unakuta hawa waliyocheza mchezo wa kisiasa ndio wanaongoza nchi.
Nimejaribu kufuatilia nyuzi zako,

It seems bado hujakubali.

Jiwe hatukonaye tena......
 
Nimemsikiliza mbunge Aidan Kabudi akichamgia mjadala bungeni muda sio mrefu. Hakika mchango wake ni bora sana.

Ninalotaka kusema hapa ni kwa nini mtu kama huyu mama amemuweka nje ya baraza la mawaziri. Mtu msomi ambaye ni hazina kubwa tunamtoa badala yake unaweka watafuta kwa nguvu nyingi uwaziri huku ni vilaza wakubwa na wachumia tumbo tu.

Sina haja kuwataja maana wanatajwa kila siku ila mama kwa sababu anazojua mwenyewe anawabeba kwa mbeleko.

Awamu ya tano Magufuli aliweza kuwaleta wasomi wazalendo wengi kwenye kazi za kisiasa na kitaaluma ili taifa liweze kunufaika. Kwamba siasa ni mchezo mchafu inafanya watu wengi weledi kutotaka kugombea nafasi za kisiasa na kubakia kwenye taaluma zao. Matokeo unakuta hawa waliyocheza mchezo wa kisiasa ndio wanaongoza nchi.
Tatizo unafiki mfano Kabudi kabla ya uwaziri wa sheria alipiga kelele sana kuhusu ubovu wa katiba ila alipopata uwaziri alipuuzia mabadiliko ya katiba au sheria zilizopitwa na wakati.

Sasa mtu wa hivyo ana faida Gani, Bora utumbuliwe kwa kuisimamia misingi Yako kama waziri Fulani aliyepinga wazi wazi kujifukiza.

So Kabudi, Polepole na Bashiru hawafai kabisa. Cha kuchekesha Leo Polepole analialia kuwa sheria ya habari ni mbovu!! Unajiuliza wakati anaitunga Ili kunyoosha blogs zinazokosoa hakujua ipo siku itatumika kwake?

Funny
 
Nimemsikiliza mbunge Aidan Kabudi akichamgia mjadala bungeni muda sio mrefu. Hakika mchango wake ni bora sana.

Ninalotaka kusema hapa ni kwa nini mtu kama huyu mama amemuweka nje ya baraza la mawaziri. Mtu msomi ambaye ni hazina kubwa tunamtoa badala yake unaweka watafuta kwa nguvu nyingi uwaziri huku ni vilaza wakubwa na wachumia tumbo tu.

Sina haja kuwataja maana wanatajwa kila siku ila mama kwa sababu anazojua mwenyewe anawabeba kwa mbeleko.

Awamu ya tano Magufuli aliweza kuwaleta wasomi wazalendo wengi kwenye kazi za kisiasa na kitaaluma ili taifa liweze kunufaika. Kwamba siasa ni mchezo mchafu inafanya watu wengi weledi kutotaka kugombea nafasi za kisiasa na kubakia kwenye taaluma zao. Matokeo unakuta hawa waliyocheza mchezo wa kisiasa ndio wanaongoza nchi.
Waliadhibiwa yeye na Lukuvi wa aridhi kwa sababu Magufuli aliwaamini sana
 
Nimemsikiliza mbunge Aidan Kabudi akichamgia mjadala bungeni muda sio mrefu. Hakika mchango wake ni bora sana.

Ninalotaka kusema hapa ni kwa nini mtu kama huyu mama amemuweka nje ya baraza la mawaziri. Mtu msomi ambaye ni hazina kubwa tunamtoa badala yake unaweka watafuta kwa nguvu nyingi uwaziri huku ni vilaza wakubwa na wachumia tumbo tu.

Sina haja kuwataja maana wanatajwa kila siku ila mama kwa sababu anazojua mwenyewe anawabeba kwa mbeleko.

Awamu ya tano Magufuli aliweza kuwaleta wasomi wazalendo wengi kwenye kazi za kisiasa na kitaaluma ili taifa liweze kunufaika. Kwamba siasa ni mchezo mchafu inafanya watu wengi weledi kutotaka kugombea nafasi za kisiasa na kubakia kwenye taaluma zao. Matokeo unakuta hawa waliyocheza mchezo wa kisiasa ndio wanaongoza nchi.
Tangu aseme hakuna haja ya Katiba mpya nilimfuta kwenye kundi la wasomi. Ni chawa wa kawaida tu.
 
Aliwasaliti nani. Nyie fisadi na wazembe? Aliwasaliti vibwanyenye na vibepari uchwsra, watumbuliwa na cheti feki? Nani alikuambia kufanya kazi kwenye serikali ya magufuli ilikua usaliti? Wee uko nchi gani hukuona na huoni jinsi wananchi wanamuenzi magufuli? Unafikiri kupotea hao vibaraka ben saa nane, azory gwanda hata mkono hawafiki ndio jambo kubwa sana kumhukumu magufuli?
Acha ushetani, roho moja ya raia Ina umuhimu Sana kuliko madini ya dhahabu yote nchini. Kudharau uhai wa watu wengine kisa sio CCM ni ujinga na upumbavu. Uhai wa ben saanane unaudharau halafu unadai wewe mzalendo. Acha unafiki.
 
Back
Top Bottom