Mnachihanguuu
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 5,981
- 9,098
Sasa uliekimsimulia kuhusu mapadre kuhonga ni nani?Mwanaume kutaka kujua kiwango anachohongwa mwanamke na mwanaume mwenzake hiyo ni dalili mbaya sana... ndio maana jinsi tata zinaongezeka
Sasa uliekimsimulia kuhusu mapadre kuhonga ni nani?Mwanaume kutaka kujua kiwango anachohongwa mwanamke na mwanaume mwenzake hiyo ni dalili mbaya sana... ndio maana jinsi tata zinaongezeka
Khee! Umbea na uzushi upi sasa,Mimi nawajua mapadri wanaohonga, kuzalisha, n.k.... wewe unataka kujua kiwango nilichohongwa unataka kufanya ulinganisho na unachopewaga [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wakati mwingine uache tabia yako ya umbea na uzushi. Ona sasa nimekuuliza swali jepesi tu, umeshindwa kujibu.
Badala ya kujibu swali anasema eti na mimi nikahongwe! 😃 Binti mjinga sana huyu. Analeta mambo yake ya umbea humu, halafu anataka aachwe tu.Umeshindwa kujibu ulichoulizwa😆😆😆
Kwani mapadre hawahongi? [emoji23]Sasa uliekimsimulia kuhusu mapadre kuhonga ni nani?
Umeulizwa swali ambalo umeshindwa kujibu kwahiyo wewe unahongwa na mapadri?😆😆😆Khee! Umbea na uzushi upi sasa,Mimi nawajua mapadri wanaohonga, kuzalisha, n.k.... wewe unataka kujua kiwango nilichohongwa unataka kufanya ulinganisho na unachopewaga [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Unajaribu kuwatetea ila hawateteeki, kiufupi watu wengi sana wametengenezewa maisha na Mapadri, ukweli mchungu huooooooBadala ya kujibu swali anasema eti na mimi nikahongwe! [emoji2] Binti mjinga sana huyu. Analeta mambo yake ya umbea humu, halafu anataka aachwe tu.
Eeh hata mie nimehongwa sana tuuuuu, ndio maana najua.... swali lingineUmeulizwa swali ambalo umeshindwa kujibu kwahiyo wewe unahongwa na mapadri?[emoji38][emoji38][emoji38]
Kitu chechote huwezi kuhitimisha bila ushahidiKwani mapadre hawahongi? [emoji23]
Ulihongwa na padri😆😆😆 ila sishangai mumefundishwa kudanganyaEeh hata mie nimehongwa sana tuuuuu, ndio maana najua.... swali lingine
Hahahahaha yamekua kudanganya tena,Ulihongwa na padri[emoji38][emoji38][emoji38] ila sishangai mumefundishwa kudanganya
Padri akuhonge wewe acha tamaa ila wanasema mukidanganya kwenye dini munapata thawabuHahahahaha yamekua kudanganya tena,
Padri kanihonga sana pesa na mali wewe unakataa sio kama una tatizo [emoji23]
Mimi ndio nimehongwa utasemaje hayanihusu?Inakusaidia nini sasa baada ya kuwajua hao Mapadre wanaohonga na kuzalisha? Acha tabia ya umbea mdogo wangu. Pambania maisha yako. Maisha yasiyo kuhusu, achana nayo.
Mimi mwenye tamaa au yeye aliyekua ananihonga [emoji15][emoji1787]Padri akuhonge wewe acha tamaa ila wanasema mukidanganya kwenye dini munapata thawabu
Vipi alikukula?Mimi ndio nimehongwa utasemaje hayanihusu?
Wewe umechanganyikiwa na nini kujua padri ananihonga jaman mbona vichekesho hivi,
Yaan unalia kabisa [emoji23][emoji23]
Vipi alikukula?Mimi mwenye tamaa au yeye aliyekua ananihonga [emoji15][emoji1787]
Nataka nipande dau. Ndiyo maana nimekuuliza kiasi ulichohongwa.Mimi ndio nimehongwa utasemaje hayanihusu?
Wewe umechanganyikiwa na nini kujua padri ananihonga jaman mbona vichekesho hivi,
Yaan unalia kabisa [emoji23][emoji23]
Kwanini unizibe mdomo, niache niongee nchi huru hii..... halafu pia nimeandika kulingana na mada husika,Sasa kama umeshawahi kuhongwa si utulie? Cha ajabu ni kipi hapo? Ukiondoa ule Upadre wao, si bado uanaume wao uko pale pale?
Kuna sababu ya kuja kujisifia hapa? Au ndiyo mambo ya biashara huria? Wenzako wanahongwa, wanatulia. Wewe ukihongwa hata elfu 10, kelele mji mzima!!