Kwanini ommy dimpoz hakupewa kili award?

Kwanini ommy dimpoz hakupewa kili award?

ngonani

JF-Expert Member
Joined
Aug 27, 2012
Posts
1,366
Reaction score
598
Nimeshuhudia mara kadhaa,wimbo wake wa TUPOGO,popote unapopigwa basi kama watu hawasimami kuucheza,utaona hata wenye aibu wanatingisha mabega au kugongagonga miguu,ni wimbo huko juu,kuanzia maudhui na hata beats zake.Nilienda nchi za jirani hivi karibuni nikashangaa kukuta hata huko huo wimbo uapendwa sana,kwa maoni yangu wimbo huu ni bora kuliko wimbo wowote uwe wa Diamond au nani,hapo ndipo nilishangaa na kujiuliza ni kwanini kwenye hizi tuzo za Kili huu Wimbo haukunyakua japo tuzo moja
 
Huyo dogo -------- mjuaji...hiyo nyimbo hadi leo haina video...mwenzie katumia milioni 80 kwa video mbili za wimbo mmoja...yeye anacheza tu
 
kill awatoi tuzo .tuzo wanatoa wananchi kwa kuwapigia kura wasanii ukishindwa kuwahamasisha wananchi ndio unakosa tuzo
mfano mpoki aliwai kuiga nyimbo ya mrisho mpoto lakini mwenye nyimbo akakosa tuzo akapata alieiga ni nguvu ya ushawishi tu maana zamani walikua wanakaa watu kumi wa kujadili tuzo tummpe nani
 
Yani inamaana we hujui utaratbu wa KMA kuwa kura wanapga wananchi?? Hujampgia kura unataka ashindeje? Na umemfananisha na diamond???? Are they in da same level!!
 
Back
Top Bottom