Kila ninapkwenda kukdadiriwa mapato yangu na TRA na baada ya makadiro hayo ninaelekezwa kwenda kulipia kupitia NMB.
Wengine makazi yetu na shughuli zetu ziko mbali na NMB lakini bado tunaelekezwa kwenda NMB. Taasisi zingine huwa ni uchaguzi wa mteja aidha aende NMB, CRDB, EXIM na hata kwa wakala. Ninaomba mtindo wa kulipia NMB uwe ni uchaguzi wa mteja na muwe na orodha ya Mabenki mengine yanayoweza kupokea maduhuli yenu na isiwe tu NMB.
Wengine makazi yetu na shughuli zetu ziko mbali na NMB lakini bado tunaelekezwa kwenda NMB. Taasisi zingine huwa ni uchaguzi wa mteja aidha aende NMB, CRDB, EXIM na hata kwa wakala. Ninaomba mtindo wa kulipia NMB uwe ni uchaguzi wa mteja na muwe na orodha ya Mabenki mengine yanayoweza kupokea maduhuli yenu na isiwe tu NMB.