mtznumberone
New Member
- May 1, 2015
- 1
- 0
Magufuli katutia hasara ya billions 270, alale mbele
Kwani maghufuli yeye si fisadi? Ongea kwa evidence mkuu. You can't fool everybody
KWANINI NITAMCHAGUA MAGUFULI:
A. Magufuli hakwepi kodi
Lowasa anakwepa kodi
Magufuli ametimiza malengo ya wizara yake 90%
Lowasa amefanikiwa kupiga pesa kwenye wizara zake 90%
B: KAULI ZA VIONGOZI WA UKAWA.
Atakaye muunga mkono Lowasa apimwe akili- Msigwa
CCM wamempa form kugombea urais MTU aliyepaswa kuwa jera, wametudharau watanzania- Lipumba.
Nawashangaa wanaochoma moto vibaka na kumuacha Lowasa anatanua mtaani- Mbowe
NI heshima KWA mungu kumzomea mwizi na fisadi kama Lowassa- G.Lema
Lowassa tumemtaja katika list ya watu wanaotia hasara Taifa (List of shame) Slaa.
Nina ushahidi juu ya wizi unaofanywa na mafisadi sugu wa Tanzania akiwemo Lowassa na akina Rostam - Mnyika
Je kwa kauli hizi una mshangaaje MTU aliyekua team Lowassa na sasa NI team Magufuli?
Inabidi wataalam wa jamiiforums watuwekee kale kanembo ka kudislike maana haya mabandiko mengine hutakiwi hata kuhangaika nayo, unagonga tu dislike unaendelea na shughuli nyingine..
Nawashangaa watanzania wenzangu haswa wenye mawazo mbadala wakilishikilia bango wazo zuri la Mh MAGUFULI la kugawa laptops kwa kila mwalim wa tehama kwa ajili ya kuinua ufundishaji wa somo hilo bila kuangalia aliyoyasema mgombea wa upande wa pili Mh Lowasa. Huyu aliahidi kujenga nyumba kwa kila mtu nyumba ya kisasa ila hili haliongelewi na makuwadi wake.
Pia aliahidi kumfanya kila mtu tajiri kama Rostam na Mengi ila sioni hili watanzania wakilihubiri.
Tuache ushabiki kazi ya ulimi ni kulamba mdomo na sio pua.
1.Watanzania hatutaki kujengewa nyumba maana kutujengea nyumba za kisasa bila chakula na mahitaj ya kutumia ndani ya nyumba hizo.
3. Kila mtu akiwa tajiri nani atamtumikia mwenzie maana hinadam tumeumbwa kuwa na matabaka.
3.Kwa kawaaida kadri tunavyokuwa matajir tutahtaj maskini wa kuwanyonya ili tuwe matajiri. Na Hii haileti mantiki katika uchumi wa rangi yoyote.
Watanzania hatutaki kudanganywa
KWANINI NITAMCHAGUA MAGUFULI:
A. Magufuli hakwepi kodi
Lowasa anakwepa kodi
Magufuli ametimiza malengo ya wizara yake 90%
Lowasa amefanikiwa kupiga pesa kwenye wizara zake 90%
B: KAULI ZA VIONGOZI WA UKAWA.
Atakaye muunga mkono Lowasa apimwe akili- Msigwa
CCM wamempa form kugombea urais MTU aliyepaswa kuwa jera, wametudharau watanzania- Lipumba.
Nawashangaa wanaochoma moto vibaka na kumuacha Lowasa anatanua mtaani- Mbowe
NI heshima KWA mungu kumzomea mwizi na fisadi kama Lowassa- G.Lema
Lowassa tumemtaja katika list ya watu wanaotia hasara Taifa (List of shame) Slaa.
Nina ushahidi juu ya wizi unaofanywa na mafisadi sugu wa Tanzania akiwemo Lowassa na akina Rostam - Mnyika
Je kwa kauli hizi una mshangaaje MTU aliyekua team Lowassa na sasa NI team Magufuli?
​tatizo sio lowasa hapa tatizo ni sisiem
KWANINI NITAMCHAGUA MAGUFULI:
A. Magufuli hakwepi kodi
Lowasa anakwepa kodi
Magufuli ametimiza malengo ya wizara yake 90%
Lowasa amefanikiwa kupiga pesa kwenye wizara zake 90%
B: KAULI ZA VIONGOZI WA UKAWA.
Atakaye muunga mkono Lowasa apimwe akili- Msigwa
CCM wamempa form kugombea urais MTU aliyepaswa kuwa jera, wametudharau watanzania- Lipumba.
Nawashangaa wanaochoma moto vibaka na kumuacha Lowasa anatanua mtaani- Mbowe
NI heshima KWA mungu kumzomea mwizi na fisadi kama Lowassa- G.Lema
Lowassa tumemtaja katika list ya watu wanaotia hasara Taifa (List of shame) Slaa.
Nina ushahidi juu ya wizi unaofanywa na mafisadi sugu wa Tanzania akiwemo Lowassa na akina Rostam - Mnyika
Je kwa kauli hizi una mshangaaje MTU aliyekua team Lowassa na sasa NI team Magufuli?
KWANINI NITAMCHAGUA MAGUFULI:
A. Magufuli hakwepi kodi
Lowasa anakwepa kodi
Magufuli ametimiza malengo ya wizara yake 90%
Lowasa amefanikiwa kupiga pesa kwenye wizara zake 90%
B: KAULI ZA VIONGOZI WA UKAWA.
Atakaye muunga mkono Lowasa apimwe akili- Msigwa
CCM wamempa form kugombea urais MTU aliyepaswa kuwa jera, wametudharau watanzania- Lipumba.
Nawashangaa wanaochoma moto vibaka na kumuacha Lowasa anatanua mtaani- Mbowe
NI heshima KWA mungu kumzomea mwizi na fisadi kama Lowassa- G.Lema
Lowassa tumemtaja katika list ya watu wanaotia hasara Taifa (List of shame) Slaa.
Nina ushahidi juu ya wizi unaofanywa na mafisadi sugu wa Tanzania akiwemo Lowassa na akina Rostam - Mnyika
Je kwa kauli hizi una mshangaaje MTU aliyekua team Lowassa na sasa NI team Magufuli?
Ila ufisadi uko palepale. Hivi mbona humzungumzii mwenyekiti wenu wa sasa ambae ndie aliempa amri ya kusaini ile mikataba ya Richmond? Nakushauri; kabla ya kuishabikia ccm, fikiria kwnz mara mbili mbili mkuukama ufisadi ni gari basi magufuli ni corolla na lowasa ni landcruiser
el kura yangu ataipata tu, liwalo na liweel hafai full stop