Mtela Mwampamba
JF-Expert Member
- Dec 19, 2012
- 537
- 347
KWANINI NITAMCHAGUA MAGUFULI:
A. Magufuli hakwepi kodi
Lowasa anakwepa kodi
Magufuli ametimiza malengo ya wizara yake 90%
Lowasa amefanikiwa kupiga pesa kwenye wizara zake 90%
B: KAULI ZA VIONGOZI WA UKAWA.
Atakaye muunga mkono Lowasa apimwe akili- Msigwa
CCM wamempa form kugombea urais MTU aliyepaswa kuwa jera, wametudharau watanzania- Lipumba.
Nawashangaa wanaochoma moto vibaka na kumuacha Lowasa anatanua mtaani- Mbowe
NI heshima KWA mungu kumzomea mwizi na fisadi kama Lowassa- G.Lema
Lowassa tumemtaja katika list ya watu wanaotia hasara Taifa (List of shame) Slaa.
Nina ushahidi juu ya wizi unaofanywa na mafisadi sugu wa Tanzania akiwemo Lowassa na akina Rostam - Mnyika
Je kwa kauli hizi una mshangaaje MTU aliyekua team Lowassa na sasa NI team Magufuli?
A. Magufuli hakwepi kodi
Lowasa anakwepa kodi
Magufuli ametimiza malengo ya wizara yake 90%
Lowasa amefanikiwa kupiga pesa kwenye wizara zake 90%
B: KAULI ZA VIONGOZI WA UKAWA.
Atakaye muunga mkono Lowasa apimwe akili- Msigwa
CCM wamempa form kugombea urais MTU aliyepaswa kuwa jera, wametudharau watanzania- Lipumba.
Nawashangaa wanaochoma moto vibaka na kumuacha Lowasa anatanua mtaani- Mbowe
NI heshima KWA mungu kumzomea mwizi na fisadi kama Lowassa- G.Lema
Lowassa tumemtaja katika list ya watu wanaotia hasara Taifa (List of shame) Slaa.
Nina ushahidi juu ya wizi unaofanywa na mafisadi sugu wa Tanzania akiwemo Lowassa na akina Rostam - Mnyika
Je kwa kauli hizi una mshangaaje MTU aliyekua team Lowassa na sasa NI team Magufuli?