Kwanini ni lazima nioe?

mimiamadiwenani

JF-Expert Member
Mar 9, 2022
5,411
7,016
Anyaashimika!

Kama kichwa kinavyoji express. Ipi sababu ya msingi ya kunilazimisha nioe kama kijana? Leo tuvunje ukimya tuongee kikubwa. Huu ubishi na utata wa kwa nini nioe au nisioe basi uishe leo.

Naweza kupata watoto hata nisipooa na wakakua na kuwa na maadili mema.

Naweza kuishi na mwanamke pasipo ndoa na tukazaa na tukakuza watoto kwenye maadili mema kabisa.

Ndoa ni pale mnapokubaliana kuishi pamoja. Na mkishafanya mapenzi basi tayari nyie ni wanandoa. Ndoa ni tendo lile la ndoa.

Hivyo basi, kwa nini ni lazima nioe?

Kwanza nisipooa nitakosa nini kwa mfano?

Binafsi naona ndoa ni kama security kwa mwanamke na si mwanaume.

Wanaume wengi waliooa wanawahi kufa kuliko wake zao. Wanaume wasiooa huchelewa kufa kuliko wale waliooa.

Sasa kama ndoa ni furaha, kupikiwa vinono nk, kwa nini wanaume wanakufa haraka?

Kwani Adamu alifunga ndoa na Hawa? Daudi na Abigail walifunga ndoa?

Naona kabisa ndoa hizi za kisasa ambazo ndizo janga kubwa kwa wanaume, kuwa ni utapeli kwa hoja tajwa hapo juu.

Niwe mkweli tu. Mimi "kuwagonga" "nawagonga" sana tu, na "nitawagonga" sana tu ila ndoa sidhani.

Watoto nitazaa wa kutosha ila ndoa nafikiri hapana.

Nitafanya hayo tajwa endapo nitakosa majibu ya kuridhisha kwa hoja yangu hii.

Kwa nini nioe? Kwa nini ni lazima nioe?

Kwa nini unanihimiza niingie ndoani kama wewe ilhali hunipi mchongo uliokufanya utoboe ili niwe angalau karibu na wewe???

Mjadala huru huu. Karibuni.!
 
NDOA ni suala la makubaliano na ''hiari'' kati ya watu wazima wawili wa jinsia tofauti.

  • Hakuna haja ya kukushawishi ama kukukataza, kuoa ni hiyari yako.
  • NDOA ni zawadi kutoka kwa Mungu, kutaka kuoa sio kuoa ... unaweza kutaka na usioe.

Be you and enjoy your life
Kama ni grade basi una D. Natafuta jibu litakaloniridhisha zaidi. Ahsante sana.
 
Anyaashimika!

Kama kichwa kinavyoji express. Ipi sababu ya msingi ya kunilazimisha nioe kama kijana? Leo tuvunje ukimya tuongee kikubwa. Huu ubishi na utata wa kwa nini nioe au nisioe basi uishe leo.

Naweza kupata watoto hata nisipooa na wakakua na kuwa na maadili mema.

Naweza kuishi na mwanamke pasipo ndoa na tukazaa na tukakuza watoto kwenye maadili mema kabisa.

Ndoa ni pale mnapokubaliana kuishi pamoja. Na mkishafanya mapenzi basi tayari nyie ni wanandoa. Ndoa ni tendo lile la ndoa.

Hivyo basi, kwa nini ni lazima nioe?

Kwanza nisipooa nitakosa nini kwa mfano?

Binafsi naona ndoa ni kama security kwa mwanamke na si mwanaume.

Wanaume wengi waliooa wanawahi kufa kuliko wake zao. Wanaume wasiooa huchelewa kufa kuliko wale waliooa.

Sasa kama ndoa ni furaha, kupikiwa vinono nk, kwa nini wanaume wanakufa haraka?

Kwani Adamu alifunga ndoa na Hawa? Daudi na Abigail walifunga ndoa?

Naona kabisa ndoa hizi za kisasa ambazo ndizo janga kubwa kwa wanaume, kuwa ni utapeli kwa hoja tajwa hapo juu.

Niwe mkweli tu. Mimi "kuwagonga" "nawagonga" sana tu, na "nitawagonga" sana tu ila ndoa sidhani.

Watoto nitazaa wa kutosha ila ndoa nafikiri hapana.

Nitafanya hayo tajwa endapo nitakosa majibu ya kuridhisha kwa hoja yangu hii.

Kwa nini nioe? Kwa nini ni lazima nioe?

Kwa nini unanihimiza niingie ndoani kama wewe ilhali hunipi mchongo uliokufanya utoboe ili niwe angalau karibu na wewe???

Mjadala huru huu. Karibuni.!
ukishakuwa hiv utaishia kuwa malaya ,Vijana wote wanaosupport kutokuoa Hawajitambui wanataka kulala na kila mwanamke , Ndoa ni Baraka !Funga Ndoa Focus na maisha pamoja na mwenza wako, Unasema utawagonga? Hizo gharama utakazotumia Ni bora utulie na Mmoja Mfanye vitu vya maana ,Ukishakuwa na akili hii Mwanamke anayejitambua hawez kuwa na Wewe .
 
Anyaashimika!

Kama kichwa kinavyoji express. Ipi sababu ya msingi ya kunilazimisha nioe kama kijana? Leo tuvunje ukimya tuongee kikubwa. Huu ubishi na utata wa kwa nini nioe au nisioe basi uishe leo.

Naweza kupata watoto hata nisipooa na wakakua na kuwa na maadili mema.

Naweza kuishi na mwanamke pasipo ndoa na tukazaa na tukakuza watoto kwenye maadili mema kabisa.

Ndoa ni pale mnapokubaliana kuishi pamoja. Na mkishafanya mapenzi basi tayari nyie ni wanandoa. Ndoa ni tendo lile la ndoa.

Hivyo basi, kwa nini ni lazima nioe?

Kwanza nisipooa nitakosa nini kwa mfano?

Binafsi naona ndoa ni kama security kwa mwanamke na si mwanaume.

Wanaume wengi waliooa wanawahi kufa kuliko wake zao. Wanaume wasiooa huchelewa kufa kuliko wale waliooa.

Sasa kama ndoa ni furaha, kupikiwa vinono nk, kwa nini wanaume wanakufa haraka?

Kwani Adamu alifunga ndoa na Hawa? Daudi na Abigail walifunga ndoa?

Naona kabisa ndoa hizi za kisasa ambazo ndizo janga kubwa kwa wanaume, kuwa ni utapeli kwa hoja tajwa hapo juu.

Niwe mkweli tu. Mimi "kuwagonga" "nawagonga" sana tu, na "nitawagonga" sana tu ila ndoa sidhani.

Watoto nitazaa wa kutosha ila ndoa nafikiri hapana.

Nitafanya hayo tajwa endapo nitakosa majibu ya kuridhisha kwa hoja yangu hii.

Kwa nini nioe? Kwa nini ni lazima nioe?

Kwa nini unanihimiza niingie ndoani kama wewe ilhali hunipi mchongo uliokufanya utoboe ili niwe angalau karibu na wewe???

Mjadala huru huu. Karibuni.!
mshamba_hachekwi ndoa ni muhimu. Hakikisha tu unatafuta mtu sahihi, hapa inahitaji utafiti wa kutosha kujua tabia zake, na tabia za kabila lake na pia marafiki zake.

Mfano kama wewe ni mwanaume mpole usioe wa Kaskazini. Tatizo watu wanajali kupenda yaani mtu anapenda bila kutumia akili.
 
mshamba_hachekwi ndoa ni muhimu. Hakikisha tu unatafuta mtu sahihi, hapa inahitaji utafiti wa kutosha kujua tabia zake, na tabia za kabila lake na pia marafiki zake.

Mfano kama wewe ni mwanaume mpole usioe wa Kaskazini. Tatizo watu wanajali kupenda yaani mtu anapenda bila kutumia akili.
kuna mda naona inawezekana, kuna mda naona haiwezekani
 
kuishi na mtu maisha yako yote unaona rahisi?
Nafikiri ni rahisi ikiwa mwanamke akiwa submissive. Yaani marriage ibase kwenye equity na sio equality. Usioe mwanamke anayekuzidi akili, bora akuzidi pesa ila sio akili ya kutawala.

Tatizo la ndoa sikuhizi, ni kwamba wanawake wa Sasa wamevikwa ufeminism. Hii kitu kinachoitwa Haki za wanawake na financial independence ikitumika ndani ya ndoa , ni ushetani uliopitiliza.
 
Nafikiri ni rahisi ikiwa mwanamke akiwa submissive. Yaani marriage ibase kwenye equity na sio equality. Usioe mwanamke anayekuzidi akili, bora akuzidi pesa ila sio akili ya kutawala.

Tatizo la ndoa sikuhizi, ni kwamba wanawake wa Sasa wamevikwa ufeminism. Hii kitu kinachoitwa Haki za wanawake na financial independence ikitumika ndani ya ndoa , ni ushetani uliopitiliza.
hata kama akiwa 'submissive' unaweza kumchoka

naogopa kuumiza mtoto wa mtu
 
hata kama akiwa 'submissive' unaweza kumchoka

naogopa kuumiza mtoto wa mtu
Kumchoka itadepend na factors nyingi.

Mfano kama mwanaume hamtunzi mwanamke, mwanamke ataonekana quality yake ndogo, and by the end of the day uzuri unapotea unahisi umemchoka.

Sijawahi ona mwanamke submissive, anayejua kupika, anayefanya majukumu yote ya kike akachokwa. Ila kama mambo yanafanywa na house girl, lazima utamchoka, ndo maana mahouse girl wengi wanaliwa.
 
Kumchoka itadepend na factors nyingi.

Mfano kama mwanaume hamtunzi mwanamke, mwanamke ataonekana quality yake ndogo, and by the end of the day uzuri unapotea unahisi umemchoka.

Sijawahi ona mwanamke submissive, anayejua kupika, anayefanya majukumu yote ya kike akachokwa. Ila kama mambo yanafanywa na house girl, lazima utamchoka, ndo maana mahouse girl wengi wanaliwa.
kwahiyo inabidi awe housewife 100% degree yake aweke pembeni?
 
Back
Top Bottom