Kwanini ngono ni dhambi?

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Feb 4, 2009
75,015
156,364
Hebu tufumbuane akili hapa, kwa nini Mungu alikataza ngono? Ni kitu gani kinaifanya ngono iwe dhambi na kusugua meno, au kumshika mkono jinsia tofauti isiwe dhambi?

Je, kwa nini ngono si hatia kwa wanyama lakini ni hatia kwa wanadamu?

Ikapanuliwa tena, "ukimtazama mwanamke/mwanamume kwa kumtamani unazini nae" what is the exact context of it being sin and not other action?

Tujadili kama great thinkers wadau!
 
Hebu tufumbuane akili hapa, kwa nini Mungu alikataza ngono? Ni kitu gani kinaifanya ngono iwe dhambi na kusugua meno, au kumshika mkono jinsia tofauti isiwe dhambi?

Hapo red hili ni swali gumu sana. Kwanini alikataza hilo swali alipaswa aulizwe mwenyewe. Huku ni kuingilia uhuru wa kimahakama ya Mungu.

Baada ya hapo tutajiuliza kwanini Mungu alikataza watu kulana tigo? Je kulana denda ni halali?? Je kunyonyana vikojoleo (kwa wanandoa) ni halali/haramu? Mungu alikataza wapi???

Huyu Mungu tumwache tu aendelee kuitwa Mungu.
 
Kwa sababu ni dhambi na sio dhambi tu bali inahusisha mwili wako, dhambi nyingine utazifanya out of your body lakini si kwa case ya ngono, kama unavyojua kwa sisi wakristo mwili ni hekalu, unapofanya zinaa unafungua milango mingi sana kiroho bila kujua
 
Ngono si dhambi, ni tendo takatifu kwa wanandoa. Zinaa na uasherati ndio dhambi na uchafu uliopindukia.
 
Kwa sababu ni dhambi na sio dhambi tu bali inahusisha mwili wako, dhambi nyingine utazifanya out of your body lakini si kwa case ya ngono, kama unavyojua kwa sisi wakristo mwili ni hekalu, unapofanya zinaa unafungua milango mingi sana kiroho bila kujua

kwa nini ukifanya ndani ya ndoa si dhambi?
 
ngono ni dhambi ila tendo la NDOA siyo dhambi,kwasababu mmeshakuwa mwili mmoja kama sio mwili mmoja ni nje ya utashi na kutotafautiana na wanyama hence kushusha discpline ya mtu katika nature na instinct yake kama mwenye kutambua nini ni nini period
 
ngono ni dhambi ila tendo la NDOA siyo dhambi,kwasababu mmeshakuwa mwili mmoja kama sio mwili mmoja ni nje ya utashi na kutotafautiana na wanyama hence kushusha discpline ya mtu katika nature na instinct yake kama mwenye kutambua nini ni nini period

vipi kwetu tunaoruhusiwa Kuwa na wake Saba? wote ni mwili mmoja na Mimi au ndio one network?
 
Uasherati ni dhambi na Maangamizo makubwa, Rejea hasara ya Fedha zinazopotea Dunia Nzima kupambana na Ukimwi, rejea takwimu za vijana walioangamia kwa Ukimwi zinazidi nguvu kazi yote iliyopotea kwa Slave trade, rejea mahusiano mabaya ngazi ya familia yanayosababishwa na zinaa ( mf. Ufo saro na Judge Liundi Scandles) hayo ni baadhi tu ya madhara tuyajuayo kwa ufahamu wetu wa kibinadamu, Allah Subhana wataala anajua zaidi
 
Hii dhambi ina changamoto kubwa sana. Maana hata ukitamani tu tayari umeshafanya, na dhambi zote ni sawa, yaani ya kutamani na kufanya kabisa.

Kipi bora?
 
Hebu tufumbuane akili hapa, kwa nini Mungu alikataza ngono? Ni kitu gani kinaifanya ngono iwe dhambi na kusugua meno, au kumshika mkono jinsia tofauti isiwe dhambi?

Je, kwa nini ngono si hatia kwa wanyama lakini ni hatia kwa wanadamu?

Ikapanuliwa tena, "ukimtazama mwanamke/mwanamume kwa kumtamani unazini nae" what is the exact context of it being sin and not other action?

Tujadili kama great thinkers wadau!

Bujibuji, NGONO ni elimu inayotolewa kwa binti wakati anaenda kuolewa, unyago ni elimu anayopewa binti anapo vunja ungo. dhambi ni UZINZI, pia kuna UASHERATI haya ni machukizo kwa bwana.
 
Ngono iliwekwa na mungu kwa madhimuni ya kuongeza viumbe hapa duniani.kazi ya uumbaji wa wa mungu pekee hana msaidizi. Hivyo waliopewa hukumu hili la Mingu mtakatifu budi walifanye kitakatifu kwa utaratibu alioukubali.
 
kwa nini ukifanya ndani ya ndoa si dhambi?

hilo suala lipo kiroho sana, unaposema mkeo unaunganisha na kauli ya mchungaji madhabahuni kuwa mmekuwa mwili mmoja hivyo haiathiri innei body zenu, ni tofauti na mtu uliyekutana naye barabarani hapo kila mtu ana roho yake na hivyo ukimuingilia kiroho kuna uwezekano wa kutoka na maroho mengine ya ajabu kulingana na mtu husika, najua unajua maana somo hili lipo kule intelligence nawe unapitaga kule, umeuliza hivi kwa ajili ya watu wengine wasiopenda kuhoji, na hicho ndo tunachoita UPENDO, KEEP IT UP!
 
ngono ni dhambi ila tendo la NDOA siyo dhambi,kwasababu mmeshakuwa mwili mmoja kama sio mwili mmoja ni nje ya utashi na kutotafautiana na wanyama hence kushusha discpline ya mtu katika nature na instinct yake kama mwenye kutambua nini ni nini period

Tendo la ndoa tuanza baada ya kupata elimu ya NGONO, neon ngono lilibadilishwa maana na mkuu wa mkoa wa daresalaam kaka ditto alivyoanza kutumia neon NGONO akimaanisha uasherati.
 
bwana yupi? wachina wanamjua bwana huyo?

Kwa wakristu BWANA maana yake ni Mungu, kwa familia maana yake baba mwenye nyumba,kwa wachina maana yake Master hata hivyo wachina sasa hivi ndo wanaongoza kumjua Yesu kristu.
 
hebu tufumbuane akili hapa, kwa nini mungu alikataza ngono? Ni kitu gani kinaifanya ngono iwe dhambi na kusugua meno, au kumshika mkono jinsia tofauti isiwe dhambi?

Je, kwa nini ngono si hatia kwa wanyama lakini ni hatia kwa wanadamu?

Ikapanuliwa tena, "ukimtazama mwanamke/mwanamume kwa kumtamani unazini nae" what is the exact context of it being sin and not other action?

Tujadili kama great thinkers wadau!


yote haya ni mambo ya dhahania,hakuna atakayekupa jibu sahihi,si vizuri pia kujadili mambo yanayohusiana na neno mumngu moja kwa moja. Kama hakuna jibu sahihi kuhusu uwepo wa mungu basi hakuna jibu sahihi kuhusu ngono dhambi au si dhambi. Ila wasikilize binadamu,mimi nasema mambo ya dhahania hayana specific answers
 
Back
Top Bottom