REJESHO HURU
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 4,460
- 9,394
Wandya andi?
Jana tumekutoa kwa mdhamana ujapumzika anaanza tena h
Jana tumekutoa kwa mdhamana ujapumzika anaanza tena h
Deo, nilipokusoma hapaMATARAJIO YANGU MAPYA/MY NEW GOALS.
1. Kuanzisha Dini Mpya Duniani itakayoitwa ''DINI YA UZALENDO'' (PATRIOTIZM RELIGION) na itakuwa Dini ya Serikali.
/ To introduce new Religion and will be named ''PATRIOTIZM RELIGION'' and will be a Religion of Governing a Government affairs.
2.Kuunda na kuanzisha KITABU KIPYA CHA MAANDIKO MATAKATIFU kitakacho tumika na DINI YA UZALENDO ambacho kitaitwa ''DOGUMA Takatifu''. Kumbuka Dini ya ukristu wana BIBLIA na DINI ya uislam wa KURUANI na hivyo Dini ya UZALENDO itakuwa na DOGUMA Takatifu...
/To Formulate new Scriptures of HOLY WORDS and will be named ''HOLY DOGUMA'' and will be used by the PATRIOTIZM RELIGION.
ASUBUHI News is Coming
DEOGRATIUS NALIMI KISANDU.
ASUBUHI News
Ndugu Watanzania hasa wale mnaonifatilia najua mnafahamu kuwa nilikamatwa tarehe 24 Januari 2018 hapa jiji Mwanza kwa kesi ya Mitandao ya jamii. Ninashukuru jana tarehe 15/3/2018 ndugu zangu wameniwekea dhamana kutoka wilayani Kahama, na sasa nipo nje kwa Dhamana. Nawashukuru wale wote waliofika kuniona gerezani Butimba na Mungu awabariki. Kesi yangu siwezi kuizungumuzia kwa kuwa bado inaendelea.
Pamoja na yote sitarajii kukimbia kisa nimewekewa dhamana, ni heri ni fungwe kuliko kukimbia maana na heshimu heshima ya walioniwekea dhamana. Na Mungu awabariki sana. MAPAMBANO BADO YANAENDELEA.
ndimi: DEOGRATIUS NALIMI KISANDU.
kumbe ameshatoka selo? kibarua vipi bado anaendelea maana maelezo ya headmaster yalikua yanafuta kibarua kabisa em mtemi nalimi tuweke wazi wazalendo wenziolol, kwa kweli network inasumbua
Brother karibu tena.MATARAJIO YANGU MAPYA/MY NEW GOALS.
1. Kuanzisha Dini Mpya Duniani itakayoitwa ''DINI YA UZALENDO'' (PATRIOTIZM RELIGION) na itakuwa Dini ya Serikali.
/ To introduce new Religion and will be named ''PATRIOTIZM RELIGION'' and will be a Religion of Governing a Government affairs.
2.Kuunda na kuanzisha KITABU KIPYA CHA MAANDIKO MATAKATIFU kitakacho tumika na DINI YA UZALENDO ambacho kitaitwa ''DOGUMA Takatifu''. Kumbuka Dini ya ukristu wana BIBLIA na DINI ya uislam wa KURUANI na hivyo Dini ya UZALENDO itakuwa na DOGUMA Takatifu...
/To Formulate new Scriptures of HOLY WORDS and will be named ''HOLY DOGUMA'' and will be used by the PATRIOTIZM RELIGION.
ASUBUHI News is Coming
DEOGRATIUS NALIMI KISANDU.
ASUBUHI News
MATARAJIO YANGU MAPYA/MY NEW GOALS.
1. Kuanzisha Dini Mpya Duniani itakayoitwa ''DINI YA UZALENDO'' (PATRIOTIZM RELIGION) na itakuwa Dini ya Serikali.
/ To introduce new Religion and will be named ''PATRIOTIZM RELIGION'' and will be a Religion of Governing a Government affairs.
2.Kuunda na kuanzisha KITABU KIPYA CHA MAANDIKO MATAKATIFU kitakacho tumika na DINI YA UZALENDO ambacho kitaitwa ''DOGUMA Takatifu''. Kumbuka Dini ya ukristu wana BIBLIA na DINI ya uislam wa KURUANI na hivyo Dini ya UZALENDO itakuwa na DOGUMA Takatifu...
/To Formulate new Scriptures of HOLY WORDS and will be named ''HOLY DOGUMA'' and will be used by the PATRIOTIZM RELIGION.
ASUBUHI News is Coming
DEOGRATIUS NALIMI KISANDU.
ASUBUHI News
Hivi ni kwa nini lakini? Huwa wanafanyiwa nini huko? Au ni yale mambo ya kashfa yaliyolikumba kanisa hivi majuzi? Kuna mwingine namfahamu naye yaani kichwani hayuko sawa kabisa. Wakimkamata tena wampe msaada wa kitabibu badala ya kumtupa Butimba.Watu mliotaka kuwa Mapadri mkaishia nijiani mna matatizo sana.
Katika ubora wake. Kuna hatari akarudishwa huko alikotoka.Mtemi Kisandu.
Pasco, shida jamaa alisema yote yanasababishwa na ashki ya mwili sasa huyu anatakiwa aoe na atulie na mwanamke, itamletea nafuuDeo, nilipokusoma hapa
nikadhani umebadilika, kumbe bado!.
Pole kwa yote!.
Kwa watu wenye akili zetu timamu, nawaomba sana tusimdharau Deo, tusimcheke, wala kumkashimu, ni mtu anayehitaji msaada!. This man needs help.
Paskali