Jolie Jolie
JF-Expert Member
- Dec 28, 2017
- 7,407
- 13,791
Duuuh mtemi nalimi na dini tena?
Mafunzo ya huko seminaries kuu huwa yanayumbisha dishi. Hii ni kwa wote 'walio-disco' utawa.Watu mliotaka kuwa Mapadri mkaishia nijiani mna matatizo sana.
Labda yeye ndo atakua mungu wa dini yakeSasa, kisandu ukianzisha dini ya uzalendo, kitabu kinaitwa dogma takatifu, na Mungu wa dini yako hiyo atakuwa nani mbona hujatutajia Mungu wenu ?. Bila shaka huyo Mungu atakuwa ni lusifa himself.