minakuuliza ni aje, mbona sisi wengine hatuna fursa ya kutuma new threads, au inakuaje tujuze kuna fees au ni mpaka muamue wenyewe? tafadhali nijulishe
Hongera lakini hujamjibia swali lake. how tokuanzisha threads ni bure, sio lazima ulipie.
Hii acc yao ya NMB haina jina, maana ukifanya transaction kati ya acc na acc kwa kupitia simu huwa inakuambia acc ni ya nani. Inasaidia kama umekosea kuwahi kuzuia fedha zisiende pasipotarajiwa, nimetuma muda mfupi uliopita na haikutoa jina.Natumaini chadema wataweka utaratibu wa kutaarifu hali ya kifedha ili kutupatia picha ya nini kinaendelea kwenye michango.
Hii acc yao ya NMB haina jina, maana ukifanya transaction kati ya acc na acc kwa kupitia simu huwa inakuambia acc ni ya nani. Inasaidia kama umekosea kuwahi kuzuia fedha zisiende pasipotarajiwa, nimetuma muda mfupi uliopita na haikutoa jina.
minakuuliza ni aje, mbona sisi wengine hatuna fursa ya kutuma new threads, au inakuaje tujuze kuna fees au ni mpaka muamue wenyewe? tafadhali nijulishe
Mbona hii namba ya sms 15710 inakataa. Inanipa jipu la message failed.
Mchango bila ya risiti? Kwani kanisani huko? Teh teh teh :becky:
CCM wanatoa risiti???? Avator yako inaonyesha jinsi akili yako ilivyochanganyikana na ma..i
Angalia salio na kumbuka kuwa ni Zain na Voda pekee ndizo zinatumika, Tigo wametutenga