Kwanini mwanaume ukikosa kazi mwanamke anakusimanga sana?

Kwa kweli kuna wanawake wanalia wakiomba kwa Mungu, uchumi wa mume uyumbe au hata augue; only that itamfanya aishi na mumewe kwa furaha. Na wanaume wengi hawajui kuwa baraka zao zipo mikononi mwa wake zao; muumize tu mkeo, alie machozi then utaona mambo yako
Lakin kama wanaomba uchumi wa mume ushuke, huon kuwa wanakosea. Mume akifilisika ni kwa faida ya nani?
 
Tafuta pesa ndugu. Acha porojo
Nikupe mfano. Mtaani ninapo ishi. Naishi jirani na matajiri wakubwa hapa mjini. Wako wawili. Hawa jamaa wana pesa, majumba,magorofa... huko mjini wana mabiashara usiseme. Wake zao wanatembelea prado, benz.

Ila amini usiamin? Wale wamama wanachepuka na vijana wadogo, wanawalipia kila kitu.
Huyu mwanamke hajakosa kitu chochote, mume anahudumia, pesa ipo... tena mume ana migodi ya madini mererani.

Wake zao wamekosa nini?
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
Nikupe mfano. Mtaani ninapo ishi. Naishi jirani na matajiri wakubwa hapa mjini. Wako wawili. Hawa jamaa wana pesa, majumba,magorofa... huko mjini wana mabiashara usiseme. Wake zao wanatembelea prado, benz.

Ila amini usiamin? Wale wamama wanachepuka na vijana wadogo, wanawalipia kila kitu.
Huyu mwanamke hajakosa kitu chochote, mume anahudumia, pesa ipo... tena mume ana migodi ya madini mererani.

Wake zao wamekosa nini?
Hii hadithi haiondoi wajibu wa mwanaume kuhudumia mwanamke/familia. Ninasisitiza tena NI JUKUMU LA MWANAUME kuhudumia familia na si vinginevyo
 
Wanawake mnapenda sana kuonewa huruma ila nyie hamna huruma kwa wanaume hata kidogo na hiyo ni roho chau na ubinafsi tu
Nyie ni mashuhuda. Watu wanaanza wakiwa wanalala chini, leo mambo yakiwa murua, , raha zote wanapewa michepuko. Kwa sababu unampenda sana mumeo na hutaki kumuacha na hutaki aangamizwe, unamuomba tu Mungu apunguze hizo hela so that peace could reign. Kama pesa ndo zimeondoa furaha ya ndoa yenu, kwa nini Mungu asizichukue tu?
C.c. Evelyn Salt
Lakin kama wanaomba uchumi wa mume ushuke, huon kuwa wanakosea. Mume akifilisika ni kwa faida ya nani?
 
Nyie ni mashuhuda. Watu wanaanza wakiwa wanalala chini, leo mambo yakiwa murua, , raha zote wanapewa michepuko. Kwa sababu unampemda sana mumeo na hutaki kumuacha na hutaki aangamizwe, unamuomba tu Mungu apunguze hizo hela so that peace could reign. Kama pesa ndo zimeondoa furaha ya ndoa yenu, kwa nini Mung asizichukue tu?
C.c. Evelyn Salt
Thats depends. Hapa nazungumzia mwanaume mwaminifu. Ambaye anafight kuleta chakula ndani na matunzo lakin mke au mchumba ndio anakuwa chanzo cha kumrudisha nyuma?
 
Hii hadithi haiondoi wajibu wa mwanaume kuhudumia mwanamke/familia. Ninasisitiza tena NI JUKUMU LA MWANAUME kuhudumia familia na si vinginevyo
Sio hadithi. Nakulipia nauli uje uone... ni matajir maarufu sana. Njoo ..nakulipia hata chumba ukae wiki nzima. Njoo jionee.. uchodai ni hadithi.

Na si hilo tu, ninao mifano ya ndugu zangu, wenye uwezo kabisa, lakin madudu ya wake zao ni ya kutisha.

Kama unafikiri pesa ndio suluisho, think again brother.

Binafsi nina pesa , na maisha mazuri tu japo si tajiri. Lakin nilishawahi kuhudumia mwanamke kwa uwezo wangu, na bado akachepuka mpaka akapewa mimba.
 
Hii hadithi haiondoi wajibu wa mwanaume kuhudumia mwanamke/familia. Ninasisitiza tena NI JUKUMU LA MWANAUME kuhudumia familia na si vinginevyo
Sijakataa ni jukumu. Sijakataa kuhudumia. hakuna mwanaume anakataa kuhudumia familia... hayupo huyo mwanaume. Maana kuhudumia ni fahari.

Laki je unamhudumia mwanamke wa aina gani?
 
Sijakataa ni jukumu. Sijakataa kuhudumia. hakuna mwanaume anakataa kuhudumia familia... hayupo huyo mwanaume. Maana kuhudumia ni fahari.

Laki je unamhudumia mwanamke wa aina gani?
Nashukuru kwa uelewa wako Brother. Lakin pia wapo wanaume wao wanasukumia jukumu la kulea kwa wanawake.
Lengo hapa ni tukumbushane majukumu ya Mwanaume kwa "mkewe"
 
Nyie ni mashuhuda. Watu wanaanza wakiwa wanalala chini, leo mambo yakiwa murua, , raha zote wanapewa michepuko. Kwa sababu unampemda sana mumeo na hutaki kumuacha na hutaki aangamizwe, unamuomba tu Mungu apunguze hizo hela so that peace could reign. Kama pesa ndo zimeondoa furaha ya ndoa yenu, kwa nini Mung asizichukue tu?
C.c. Evelyn Salt
Amen mpendwa amen, zichukuliwe zibaki za kuhudumia watoto tu ila mwenye nazo akose hata 200 ya sigara:D
 
Sijakataa ni jukumu. Sijakataa kuhudumia. hakuna mwanaume anakataa kuhudumia familia... hayupo huyo mwanaume. Maana kuhudumia ni fahari.

Laki je unamhudumia mwanamke wa aina gani?
Shemeji mbona wawasemea wanaume wenzio tena wawasemea uongo, kuna mwanaume hela ya mboga tu anaitoa kanuna yani mnuno imagine mboga ni sh ngapi....
Wengine hela hiyo ya mboga atajibu sina hana ila anasubiri msosi mezani haya mambo haya we kama unajielewa ubarikiwe na mkeo ana bahati sio wote mpo hivo
 
Shemeji mbona wawasemea wanaume wenzio tena wawasemea uongo, kuna mwanaume hela ya mboga tu anaitoa kanuna yani mnuno imagine mboga ni sh ngapi....
Wengine hela hiyo ya mboga atajibu sina hana ila anasubiri msosi mezani haya mambo haya we kama unajielewa ubarikiwe na mkeo ana bahati sio wote mpo hivo
Duh shem. Huyo mwanaume ambaye hata hela ya mboga ananuna, alaf atarajie chakula ?. Ajifikirie sana.. huyo.atakuwa mwanaume wa dar.
 
Back
Top Bottom