mkulungu mkuyengo
JF-Expert Member
- Feb 5, 2015
- 786
- 564
baada ya kuua hapa umetaifisha hadi makaburi hahaha.Mwenye hela anaangalia mwanamke mwenye kujielewa nyie manunga yembe mtaishia kuchezewa tu
baada ya kuua hapa umetaifisha hadi makaburi hahaha.Mwenye hela anaangalia mwanamke mwenye kujielewa nyie manunga yembe mtaishia kuchezewa tu
binadamu tumetofautiana mitazamo na jinsi tunavyoyachukulia mambo..!!wewe unaweza kupatwa na jambo jinsi utakavyolipokea ni tofauti na nitakavyolipokea mimi na jinsi ya kulitatua..!!nimechangia kutokana na experience yangu mimi mwenyewe hili jambo lishawahi nitokea hapo awali nikaenda hadi kwa mzee wangu (kwa sasa ni marehemu) ushauri alonipa ndo huo ambao umenusuru familia yangu hadi leo hii...
hata hivyo naheshimu mawazo yako boss..
absolutely!Wanawake Kama nyie ni wa kuchapa na kulala mbele
For shizzle, don't get shit twisted brother! Keep herI'm blessed I guess!
That's right amigo, actually the plan is till death do us apart.For shizzle, don't get shit twisted brother! Keep her
Heshima ya Mwanaume ni pamoja na pesa zake. Unanyanyua vyuma pesa Huna utatukanwa tu. Diamond anawagongea ni kwa sababu pesa ipo. Kama Huna pesa bora na wewe tukulipie mahari na uvalishwe dera
Tafuta pesa ndugu. Acha porojoSio kila demu anayegongwa hela ndio chanzo
Tafuta pesa ndugu. Acha porojo
Wanawake mnapenda sana kuonewa huruma ila nyie hamna huruma kwa wanaume hata kidogo na hiyo ni roho chau na ubinafsi tuKwa kweli kuna wanawake wanalia wakiomba kwa Mungu, uchumi wa mume uyumbe au hata augue; only that itamfanya aishi na mumewe kwa furaha. Na wanaume wengi hawajui kuwa baraka zao zipo mikononi mwa wake zao; muumize tu mkeo, alie machozi then utaona mambo yako
Huyo binti hajielewi ndio hao hao wa kuchotahii ndo lugha wanawake wengi wanayotaka kuisikia na ndio lugha pendwa kwao,naona una apply 'the formula' effectively.
Nimegundua bado kuna wanawake wenye mawazo ya kizamani wengi sana hasa hapa nchini kwetu mawazo ya ugolkipa Dunia ya leo mwanamke na mwanaume wote tunatafuta kipato ndio maendeleo hayo hawa wa kusubiri watateseka sana.baada ya kuua hapa umetaifisha hadi makaburi hahaha.
Kuhusika kivipi. Soma kuanzia mwanzo mkuuInategemea ulipokua na kazi ulihusika VIP kwa huyo mwanamke?
Kwa akili hii wanawake utaishia kuwaona kwa kaka zako. Wewe saiz yako punyetoWanawake mnapenda sana kuonewa huruma ila nyie hamna huruma kwa wanaume hata kidogo na hiyo ni roho chau na ubinafsi tu
Binti unaongea sana punguza mdomo wanaume hawana maneno mengi.Jamaa anajihami siku ya kufulia aonewe huruma. Maisha ni pesa, wewe kama unadhani kurusha picha insta umejibinua coco ndo utapata mke si kwa awamu hii asee utaishia kupiga punyere au/na kukalia Msumari wa Nyama kama j.delishiaz
Dogo ibaki mijadala tu hapa jf hunijui wala sikujui maisha yangu unaweza ukaniona usiamini na hizi porojo zako hapa mtandaoni.Kwa akili hii wanawake utaishia kuwaona kwa kaka zako. Wewe saiz yako punyeto
Hela Huna nani akujue. Jitahid uwe na kipato. Dada zetu wanataka matunzo sio porojo porojo za kutaka kulelewaDogo ibaki mijadala tu hapa jf hunijui wala sikujui maisha yangu unaweza ukaniona usiamini na hizi porojo zako hapa mtandaoni.
Hela Huna nani akujue. Jitahid uwe na kipato. Dada zetu wanataka matunzo sio porojo porojo za kutaka kulelewa
Manzi ni wewe unaelilia mwanamke akusaidie kimaisha. MAAJABU SANA aisee!!. Mwanaume kamili hupambana kwa jasho lake ndo heshima ilipo. Mwanamke kwa asili hakuumbwa kupata shuruba. Hata ukibahatika kupata anaejibidisha akawa "anasaidia" majukumu usibweteke aisee ni aibu sana kujivunia msaada wa mwanamke "mkeo"na wewe utakuwa manzi tu. hizi kauli siyo za mwanaume anayeelewa maisha ya kutafuta kwa jasho.