Dawa ni kutafuta pesa kwa bidiiYap huyo yupo kimaslahi, mpe mda zaidi ataanza kusonya kabisa!
Dawa ni kutafuta pesa kwa bidiiYap huyo yupo kimaslahi, mpe mda zaidi ataanza kusonya kabisa!
Yap nakubali!Dawa ni kutafuta pesa kwa bidii
Bado wapo hao Wanawake Understanding?Mwanamke understanding hawezi kukupa pressures za kiduanzi isipokuwa atakupa ushirikiano zaidi kuhusiana na contigency plan mtakayoanza nayo kupunguza makali ya maisha.
Yawezekana kweli mwanamke ana roho mbaya ila watu mara nyingi wananyosha vidole hawajioni wao ubaya waoMie ni one of the reasons kwa vile nimefutwa kazi ama? Is that supposed to be the ticket ya mke kuninyanyasa kweli? Kuna ubinadamu kweli katika hilo? Na wanawake wa type hii hata ukipata matatizo ya kiafya ukawa mtu wa kuhudumiwa tu utkufa mapema mno kwa masimango.
Haswaa. Yaani anakuwa strategist si materialist. Means anakuwa zaidi ya mpenzi , anakuwa a team player.Mwanamke understanding hawezi kukupa pressures za kiduanzi isipokuwa atakupa ushirikiano zaidi kuhusiana na contigency plan mtakayoanza nayo kupunguza makali ya maisha.
Wapo ila ukimpata lazma umuone fala na uende kwa pasua kichwaBado wapo hao Wanawake Understanding?
Dah naomba mungu atupe macho ya kuona wanawake wakweli. Mwanamke real huchoki kumpenda yani laiti kama wanawake wanguejua kipindi cha kupandisha thamani mioyoyoni mwetu ni kipindi cha dhiki wasingethubutu hata kutufanya tuumie badala yake wangetukirimu vyema zaidi ili kuondoa ile pressure kuwa huna kitu.Haswaa. Yaani anakuwa strategist si materialist. Means anakuwa zaidi ya mpenzi , anakuwa a team player.
Maanamke wa aina hii huchoki kumpenda kabisa, yaan mwanaume una feel obligated kuwa nae, huyu hata ukionga gari hamna shida kabisa.
Tatizo ni hawa wa sasa, yaan mapenz yatakuwepo kipindi unauwezo. Ukikosa tu tu tayari.. kununa hovyo, hataki kuwajibika wala kujua kuwa unapitia kipindi kigumu.
unakuta mwenzi wako anakutangaza kwa marafiki, hakupigii simu tena..
Kipimo kizur cha mapenz ni nyakat za shida. Ndipo utajua ukiyenaye ni wife material au gold digger.
Na hiko ndio kiini hasa cha huu uzi mzeebaba. Wanawake understanding wameishia kizazi cha mama zetu tu!Bado wapo hao Wanawake Understanding?
Some of u appreciate real women and thats good..Dah naomba mungu atupe macho ya kuona wanawake wakweli. Mwanamke real huchoki kumpenda yani laiti kama wanawake wanguejua kipindi cha kupandisha thamani mioyoyoni mwetu ni kipindi cha dhiki wasingethubutu hata kutufanya tuumie badala yake wangetukirimu vyema zaidi ili kuondoa ile pressure kuwa huna kitu.
Kwa kauli hizi hata m/ke afanye jema in ur eyes hatoonekanaNa hiko ndio kiini hasa cha huu uzi mzeebaba. Wanawake understanding wameishia kizazi cha mama zetu tu!
Yap, mie ukiwa real nakupenda adi utaumwa mbona. Shida wengi mpo kimaslahi sana sikuhizi hamtaki changamoto.Some of u appreciate real women and thats good..
Niliwahi kukutana na demu usiku, nikachukua namba asubuhi-jioni (kutwa nzima) nikagonga bao 7, siku 2 baadae akaanza mizinga ooh mama anaumwa nimtumie hela ya hospitali na anataka mwezi wa 6 nikajitambulishe kwaoNa hiko ndio kiini hasa cha huu uzi mzeebaba. Wanawake understanding wameishia kizazi cha mama zetu tu!
Shehe Kipozeo ama?Kuna jamaa alisema ukiwa na mke mmoja ni tatizo
Mwanaume hajawahi enda nje ya misingi yake ya kuwa provider ata akiwa na mchumba tu, wenyewe mnaita kuhongwa.Kwa kauli hizi hata m/ke afanye jema in ur eyes hatoonekana
Je nyie mpo kama baba zetu?.,obviously not tunaenda na hali halisi ya maisha ya sasa
Who hurt you Evelyn salt?Fresh tu furaha kwanza, hiyo ndoa yafaa nini kama waishi bila furaha?????
Apo hakuna mtu shehe wangu.Niliwahi kukutana na demu usiku, nikachukua namba asubuhi-jioni (kutwa nzima) nikagonga bao 7, siku 2 baadae akaanza mizinga ooh mama anaumwa nimtumie hela ya hospitali na anataka mwezi wa 6 nikajitambulishe kwao
Haswaa. Shida ni kwamba ukipita kipindi kigum, demu anabadilika, anaangalia interest zake instead of interest zenu. Pesa haipo, au imekuwa ngum, basi na vituko vinaanza.Dah naomba mungu atupe macho ya kuona wanawake wakweli. Mwanamke real huchoki kumpenda yani laiti kama wanawake wanguejua kipindi cha kupandisha thamani mioyoyoni mwetu ni kipindi cha dhiki wasingethubutu hata kutufanya tuumie badala yake wangetukirimu vyema zaidi ili kuondoa ile pressure kuwa huna kitu.
I do appreciate a real woman. Tena nakuwa one side with her all the time.Some of u appreciate real women and thats good..