Kwanini mwanamke anampenda mwanaume ?

OMOYOGWANE

JF-Expert Member
Dec 30, 2016
3,601
9,063
Mwanamke anampenda mwanaume kwa sababu ya utajiri au pesa ?
Vipi kuhusu wake za matajiri wanaotoka kimapenzi na masikini ?

Je mwanamke anampenda mwanaume kwa sababu ya shoo nzuri na pumzi kunako 6*6 ?
Je vipi kuhusu ma askari na wapiga gym wanaojiua kisa wake zao kuchepuka ?

Mwanamke anampenda mwanaume aliyeanza nae kama rafiki kwa muda mrefu, wakasaidizana mambo mengi kama marafiki, wakafahamiana kwa kina, wakaendana kitabia kisha wakaingia kwenye mahusiano,

Huyo ndio mwanaume anayependwa na kukumbukwa na mwanamke nyakati zote ? .

Swali ni je kwanini mwanamke anampenda mwanaume ?
 
Mwanamke anampenda mwanaume kwa sababu ya utajiri au pesa ?
Vipi kuhusu wake za matajiri wanaotoka kimapenzi na masikini ?

Je mwanamke anampenda mwanaume kwa sababu ya shoo nzuri na pumzi kunako 6*6 ?
Je vipi kuhusu ma askari na wapiga gym wanaojiua kisa wake zao kuchepuka ?

Mwanamke anampenda mwanaume aliyeanza nae kama rafiki kwa muda mrefu, wakasaidizana mambo mengi kama marafiki, wakafahamiana kwa kina, wakaendana kitabia kisha wakaingia kwenye mahusiano,

Huyo ndio mwanaume anayependwa na kukumbukwa na mwanamke nyakati zote ? .

Swali ni je kwanini mwanamke anampenda mwanaume ?
MWANAMKE anampenda mwanaume asie nae kwenye MAPENZI/NDOA....yaan (MCHEPUKO) kwasababu moja kuu ya ASILI.

Nayo ni hii,
MWANAUME+MWANAMKE=
Mwili mmoja.
Hivo MWANAUME akiwa kwenye MAPENZI/MAHUSIANO na MWANAMKE hawi mwanaume tena(tuliaaaa staki matusi,utanielewa) anakua nusu-ME nusu-KE,kutokana na kubadilishana tabia na ke,....hivo MWANAMKE (psychologically) akikaa na ME mda mrefu huanza kumuona tofauti kabisaa na alivomuona mwanzo kabla hawajananiniii na kuanza kuona kama WANAUME wa nje ambao anakutana nao ndo vidume na "WANAUME-HALISI".
Wakuu hii kitu ni very spiritual sana,tuacheni kuwalaumu akina wanawake,wewe ukiamua kua nae/kuoa kabisaa,jua kua unafanya hivo " AT YOUR OWN RISK "
 
Hulka ya mwanamke si kupenda,ni viherehere vyetu tuu na kujipa majukumu yasiyo stahiki zetu...ndio maana vurugu haziishi kwenye mahusiano,.ukisema pesa wapo wenye nazo na bado wanagalagala kwa uchungu wa kutendwa..nk
Nalo neno tena hao waliolewa na wenye pesa, wanazichukua nakwenda kuwahonga makapuku, mwanamke ni kutii mwanaume ndiye wakumpenda mwanamke
 
MWANAMKE anampenda mwanaume asie nae kwenye MAPENZI/NDOA....yaan (MCHEPUKO) kwasababu moja kuu ya ASILI.

Nayo ni hii,
MWANAUME+MWANAMKE=
Mwili mmoja.
Hivo MWANAUME akiwa kwenye MAPENZI/MAHUSIANO na MWANAMKE hawi mwanaume tena(tuliaaaa staki matusi,utanielewa) anakua nusu-ME nusu-KE,kutokana na kubadilishana tabia na ke,....hivo MWANAMKE (psychologically) akikaa na ME mda mrefu huanza kumuona tofauti kabisaa na alivomuona mwanzo kabla hawajananiniii na kuanza kuona kama WANAUME wa nje ambao anakutana nao ndo vidume na "WANAUME-HALISI".
Wakuu hii kitu ni very spiritual sana,tuacheni kuwalaumu akina wanawake,wewe ukiamua kua nae/kuoa kabisaa,jua kua unafanya hivo " AT YOUR OWN RISK "
Kwamba,
"mwanamke anampenda mwanaume asiyekuwa nae, akiwa nae anampenda mwingine tena"

Nimeipata point yako,

Swali kwako,
Kama mwanamke anampenda mwanaume asiyekuwa naye,
Akiwa naye anapenda mwingine tena,
Je wanawake wote ni MALAYA ?
 
Back
Top Bottom