Kwanini mwanamke akibeba mimba anadeka sana?

Kwanini mwanamke akibeba mimba anadeka sana?

Kama wamuonea wivu kudeka badilishaneni
 
wife ana mimba ya miezi 4 yaan ilibidi niende zangu mkoa maana naona kero sasa mara nataka readbull mara leo mimba inataka supu tuu asubuhi, akaja niua na hili nataka chips kuku.. sasa kila siku akawa anataka kila siku tusex niliteseka sana but nimemwachia miradi yote akomae nayo sasa ela ipo za kutosha juzi ananipigia anataka kuja uku wakati ni wiki moja tuu nimetoka home leo ananisumbua kua nimtumie ela ya kitimoto namwambia ela si zipo za kutosha? na kwel ela ipo home ananijibu anataka tuu nimtumie akakata cm daa yaan nilikwepa kero but bado zinaendelea hv huwa wanafanya makusudi au? "ebu nipeni uzoefu mliopitia hizi changamoto..
 
Pole sana si kosa lao na hapo tarajia kidume, mimba za vidume zina mambo balaa
Kama kuna kipindi unapaswa kuwa karibu na mkeo ni kipindi cha ujauzito na pia kuwa na uvumilivu wa kiwango chake
Shukuru Mungu hiyo mimba haijakuchukia ungeisoma namba , nakushauri vumilia na fanya kila anachikitaka , si kosa lake ni hiyo hali aliyonayo
 
Pole sana si kosa lao na hapo tarajia kidume, mimba za vidume zina mambo balaa
Kama kuna kipindi unapaswa kuwa karibu na mkeo ni kipindi cha ujauzito na pia kuwa na uvumilivu wa kiwango chake
Shukuru Mungu hiyo mimba haijakuchukia ungeisoma namba , nakushauri vumilia na fanya kila anachikitaka , si kosa lake ni hiyo hali aliyonayo
mkuu amezidi yaani naona kama ni makusudi vile
 
Wanasemaga mke akibeba mimba ujue hapo ana roho mbili tofauti yaani yakwake na ya mtoto vyote ana zicontrol yeye,kwahiyo wakati mwingine anakuwa sio yeye ila ni ile roho ya katoto tumboni ndio kanataka hizo chips kwakuwa hakawezi kusema kuna nguvu Fulani inamrazimisha mama afanye jambo ambalo litakapendeza kachanga tumboni.

Hapo unamiliki watu wawili kila mmoja na mahitaji yake ila mama ndio msemaji mkuu
 
Wakati mwingine anapata hamu ya kitu ambacho huko mwanzo alikuwa hakipendi ila sasa anakitaka tambua sio yeye huyo inawezekana ni lishe mtoto anahitaji
 
Km nimapacha ni roho3 utajibeba!! Ila km ni miez4 hyo hali ndo inaishlzia rudi hom
 
Hzi Ndoa za vivulana na visichana zinafurahisha.
 

We Jamaa mbona unakimbia Bahati?

Yaani mtu anataka SEX kila siku halafu we unaenda Mkoani!

Mim nina jamaa yangu, Mkewe akiwa mjamzito tu, Mke hataki kumuona jamaa akiwa uchi. Basi hata kuoga jamaa akawa anaoga Gest iliyo mtaa wa pili kwa muda wa miezi 9.
 
Hapana una nafuu kubwa mno tena Shukuru amekuruhusu uwe mbali kuna wengine hawabanduki mgongoni ulipo yupo na demand kilo mia tisa
kaka mshana dah nakumbuka niliwahi kutumwa ubuyu kwenye duka moja kariakoo ukinunua duka linguine tu anaujua yaani kula ubuyu kwa kwenda mbele hadi miezi mine ilipoisha then nashangaa siagizwi ubuyu hahahahahaha
 
kaka mshana dah nakumbuka niliwahi kutumwa ubuyu kwenye duka moja kariakoo ukinunua duka linguine tu anaujua yaani kula ubuyu kwa kwenda mbele hadi miezi mine ilipoisha then nashangaa siagizwi ubuyu hahahahahaha
mimba zina vituko na vitimbi vyake wallah natamani hata kuziandikia post
 
Duh wanakuwaga na joto hatari; maana kuna mmoja alikuwa anataka nishinde nagongelea misumari kiunoni nilishindwa nikaanza kusingizia Nina matatizo ya nyonga
 
Mie nakumbuka nilikuwa napenda pweza na supu yake......nikiwakosa roho hainipi....kuna siku ilinibidi nipande gari nirudi mjini nikale pweza.... Mana sehemu ambayo nilikuwa nanunua mbezi hakuwepo huyo mtu siku hiyo..... Mimba ni shida aisee unakuwa chizi bila kutarajia.
 
Mimba bwana ni shughuli nyingine, yani siku moja tu ya ujauzito ni kama mwezi..... Ile kipindi Shkamoo
Nilikuwa pweza ngisi na mchuzi wa pweza wenye ndimu nyingi sitakaa nisahau yani nikifika magomeni usalama lazima nipaki nipate, kisha nanyoosha mpaka mabibo mwisho nikifika tena hapo napiga more! Kumbe nilikuwa nasaidia
 
Mie nakumbuka nilikuwa napenda pweza na supu yake......nikiwakosa roho hainipi....kuna siku ilinibidi nipande gari nirudi mjini nikale pweza.... Mana sehemu ambayo nilikuwa nanunua mbezi hakuwepo huyo mtu siku hiyo..... Mimba ni shida aisee unakuwa chizi bila kutarajia.
Hebu tutengeneze post ya vituko vya mimba
 
Back
Top Bottom