Daaah! nimekuwa nae karibu kwa mimba ya binti yangu,Yaaaani mboga au chakula chenye mchuzi atatapika mpaka huruma.Uzuri hakunichukia noma ni pale ukichelewa kurudi home
Hivi hujui mwanmke akideka ni raha sana, hata akiwa mbaya kisura anapendeza,.Chukulia tungekuwa tunapokezana kubeba mimba kati ya mwanamke na mwanamme nahsi wanaume vituko vingizidi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.