Kwanini Mungu hakurekebisha kilichosababisha shetani akaasi kabla ya kumuumba binadamu?

Ujajibu swali " Ni wakati gani Mungu wako anafahamu kuwa wewe ni mtu wa motoni au wapeponi " kabla ujazaliwa au baada ya kuzaliwa ?hapa ndipo penye swali
Swali nimekujibu lakini hujaelewa.

"Wakati" kwa Mwenyeezi Mungu hauna uwiano na wakati kwako.

Halafu hiyo sentensi kwa "Mungu wako" huo ni uchokozi na lugha isiyo na staha.

MWENYEZI mungu wangu ni Allah. Wako ni yupi?

Allah anayajuwa ya kabla na baada ya "wakati" wako.
 
Swali nimekujibu lakini hujaelewa.

"Wakati" kwa Mwenyeezi Mungu hauna uwiano na wakati kwako.

Halafu hiyo sentensi kwa "Mungu wako" huo ni uchokozi na lugha isiyo na staha.

MWENYEZI mungu wangu ni Allah. Wako ni yupi?

Allah anayajuwa ya kabla na baada ya "wakati" wako.
Narudia swali utanijibu tu hakuna namna " Mungu wako anayajua matendo ya watu kabla ayajatokea au baada ya kutokea ?
 
Narudia swali utanijibu tu hakuna namna " Mungu wako anayajua matendo ya watu kabla ayajatokea au baada ya kutokea ?
Unaonesha una kichwa kigumu sana kuelewa. Swali nimeshakujibu lakini huelewi na hautaelewa. Una matatizo ya kichwa?

Mungu wako wewe ni yupi asiyeweza kukuelewesha hayo mpaka utafute msaada kwenye jamii?
 
Unaonesha unakichwa kigumu sana kuelewa. Swali nimeshakujibu lakini hielewi na hautielewa. Una matatizo ya kichwa?

Mungu wako wewe ni yupi asiyeweza kukuelewesha hayo mpaka utafute msaada kwenye jamii?
Badala ya kujibu swali unaleta vijembe ebu jibu swali langu bibie " Mungu wako anafahamu matendo ya watu KABLA ayajatokea au BAADA ya kutokea ? hili ndio swali jikite hapo acha vijembe
 
Narudia swali utanijibu tu hakuna namna " Mungu wako anayajua matendo ya watu kabla ayajatokea au baada ya kutokea ?
Allah anaelewa.

Mungu wako ndiyo nani?

Qur'an 2:
2_255.gif

255. Mwenyezi Mungu - hapana mungu ila Yeye Aliye hai, Msimamia mambo yote milele. Hashikwi na usingizi wala kulala. Ni vyake pekee vyote viliomo mbinguni na duniani. Ni nani huyo awezaye kuombea mbele yake bila ya idhini yake? Anayajua yaliyo mbele yao na yaliyo nyuma yao; wala wao hawajui chochote katika vilio katika ujuzi wake, ila kwa atakalo mwenyewe. Enzi yake imetanda mbinguni na duniani; na wala haemewi na kuvilinda hivyo. Na Yeye ndiye aliye juu, na ndiye Mkuu.
255
 
Acha kuchekesha watu na hoja nyepesi nyepesi kijana , wewe umepewa uhuru wa bendera kwasababu kabla aujafanya tendo lolote lile Mungu wako anajua kuwa utalifanya na matokeo yake yatakuwa yapi ,
Naona unaendelea kufikiri kitoto,hivi kujua kwa Mola hatima yako wewe kuna kuzuia nini katika kufanya jambo ? Hili swali rahisi sana.

Kujua kwa Mola ndio uwezo wake usio kiwa na mfano,na wewe una nyenzo zote za kufanya matendo kwanza una utashi na una maamuzi pia.
 
Naona unaendelea kufikiri kitoto,hivi kujua kwa Mola hatima yako wewe kuna kuzuia nini katika kufanya jambo ? Hili swali rahisi sana.

Kujua kwa Mola ndio uwezo wake usio kiwa na mfano,na wewe una nyenzo zote za kufanya matendo kwanza una utashi na una maamuzi pia.
Hizo nyenzo aziwezi badilisha matokeo ambayo Mungu wako alishakupangia toka aujazaliwa , ndio maana nikakwambia huo ni uhuru wa bendera tu
 
Allah anaelewa.

Mungu wako ndiyo nani?

Qur'an 2:
2_255.gif

255. Mwenyezi Mungu - hapana mungu ila Yeye Aliye hai, Msimamia mambo yote milele. Hashikwi na usingizi wala kulala. Ni vyake pekee vyote viliomo mbinguni na duniani. Ni nani huyo awezaye kuombea mbele yake bila ya idhini yake? Anayajua yaliyo mbele yao na yaliyo nyuma yao; wala wao hawajui chochote katika vilio katika ujuzi wake, ila kwa atakalo mwenyewe. Enzi yake imetanda mbinguni na duniani; na wala haemewi na kuvilinda hivyo. Na Yeye ndiye aliye juu, na ndiye Mkuu.
255
Ikiwa Mungu wako anafahamu kila kitu kabla akijatokea , sasa wewe uhuru wako wa kuamua huko wapi ?
 
Hoja yangu chanzo cha dhambi ni huyo Mungu wako , kuna swali ?
Nilikwambia huko awali ya kuwa Allah aliye juu yeye ndio ameumba dhambi. Lakini kwa ujinga wako unauliza tena chanzo cha dhambi ?

Kuna kuumba na kuna kufanya,chanzo cha kufanya dhambi ni shetani kwa kuwashawishi waja na ujinga kwa kufata matamanio ya nafsi.

Mathalani nikikuuliza :

Nini chanzo cha kifo cha watu wa morogoro katika tukio la mlipuko wa Lorry la mafuta ya Petrol ? au

Nini sababu ya kifo cha watu wa Morogoro katika tukio la mlipuko wa Lorry la mafuta ya Petrol ?

Maswali haya mawili utayajibu vipi ?
 
Ikiwa Mungu wako anafahamu kila kitu kabla akijatokea , sasa wewe uhuru wako wa kuamua huko wapi ?
Uhuru upo kwa sababu tangu naumbwa nilipewa nyenzo cha kunifanya ni we huru,kwa kuamua kushukuru au kukufuru,nyenzo hizo ni kama akili,hawasi na mfano wake.

Mathalani wewe hapa mpaka unamkana Mola aliye juu ni kwa sababu una uhuru wa kufanya hivyo na si kinyume chake.
 
Hizo nyenzo aziwezi badilisha matokeo ambayo Mungu wako alishakupangia toka aujazaliwa , ndio maana nikakwambia huo ni uhuru wa bendera tu

Lazima utaelewa tu,naenda na wewe taratibu.

Katika ufanyaji wa matendo ya binadamu kuna mambo mengi sana,ngoja nikugusie kwa uchache,kuna kanuni katika Uislamu inasema hivi "Maombi hubadilisha makadirio" na tumeusiwa sana kuomba mwisho mwema na tufanye matendo mema.

Hakuna anae jua kesho yake ni ipi,ndio maana tumeusiwa sana tufanye mema na msaada wa kufanya upo.

Kwahiyo matokeo yanabadilishwa kwa nyenzo ya akili ambayo itakurudisha katika mafundisho ya dini kwa kuomba msaada kwake. Hizi zote ni nyenzo za kukusaidia wewe,ndio maana huko awali nilikwambia ya kuwa Mola kujua hatima yako ni katika uwezo wake na ujuzi wake na muamuzi wa hatima ni wewe mwenyewe,ndio maana mtume wa Allah akasema hivi " Kila mtu ataingia peponi isipokuwa atakae kataa", hii hadithi inaonyesha uhuru ulio kamilika.

Naweka akiba hapa kwazo nitakuwa nazitoa kadiri ya haja.

Naendelea ........
 
Hizo nyenzo aziwezi badilisha matokeo ambayo Mungu wako alishakupangia toka aujazaliwa , ndio maana nikakwambia huo ni uhuru wa bendera tu

Lazima utaelewa tu,naenda na wewe taratibu.

Katika ufanyaji wa matendo ya binadamu kuna mambo mengi sana,ngoja nikugusie kwa uchache,kuna kanuni katika Uislamu inasema hivi "Maombi hubadilisha makadirio" na tumeusiwa sana kuomba mwisho mwema na tufanye matendo mema.

Hakuna anae jua kesho yake ni ipi,ndio maana tumeusiwa sana tufanye mema na msaada wa kufanya upo.

Kwahiyo matokeo yanabadilishwa kwa nyenzo ya akili ambayo itakurudisha katika mafundisho ya dini kwa kuomba msaada kwake. Hizi zote ni nyenzo za kukusaidia wewe,ndio maana huko awali nilikwambia ya kuwa Mola kujua hatima yako ni katika uwezo wake na ujuzi wake na muamuzi wa hatima ni wewe mwenyewe,ndio maana mtume wa Allah akasema hivi " Kila mtu ataingia peponi isipokuwa atakae kataa", hii hadithi inaonyesha uhuru ulio kamilika.

Naweka akiba hapa kwazo nitakuwa nazitoa kadiri ya haja.

Naendelea ........
 
Kabla akijatokea ashajua , sasa kutokea kwake uoni sio jambo jipya kwake ni marudio tu , sasa wewe marudio unaona ni uhuru ahahahahaahaha
Kujua kwake wewe kunakuzuia nini katika kufanya matendo yako ?

Hivi inapotokea wewe unajua kabisa jambo fulani ni baya na unaweza kuliepuka lakini ukalifanya kwa hiari yako huo sio uhuru kamili ?

Au unapokanywa juu ya jambo fulani na ukakanyika au ukalifanya huo huitwa nini ?

Hakuna marudio sababu hakuna kilichofanywa kabla mzee,unafikiri kwa kutumia nini ? Maana unazidi kuonyesha ujinga wako na upeo wako mdogo wa kufikiri.

Tuendeleee......
 
Ok wanatheolojia wanasema.

Baada ya shetan kuovu.. Hakutupwa siku iyoiyo.

Bali alipewa nafasi kadhaaa wa kadhaa kujisahihisha.

Shetan mpaka akawa anafuatwa na washaur wakimsihi kabisaa atubu wapiiiiiiiu.

Shetan akaachiwa siku kadhaa ajitathimin nakutubu wapiiiu




Njia pekee ikawa ni kumtoa eneo la watakatifu.


Unajua Mungu ni Mfalme, wa haki na huruma nareehema.
 
Kujua kwake wewe kunakuzuia nini katika kufanya matendo yako ?

Hivi inapotokea wewe unajua kabisa jambo fulani ni baya na unaweza kuliepuka lakini ukalifanya kwa hiari yako huo sio uhuru kamili ?

Au unapokanywa juu ya jambo fulani na ukakanyika au ukalifanya huo huitwa nini ?

Hakuna marudio sababu hakuna kilichofanywa kabla mzee,unafikiri kwa kutumia nini ? Maana unazidi kuonyesha ujinga wako na upeo wako mdogo wa kufikiri.

Tuendeleee......
Utatulia tu , Kama Mungu ameshaamua kuwa wewe Zuri utaingia motoni kabla ajakuumba , wewe Zuri ndio ujui kuwa utaingia motoni au peponi , kwako wewe Zuri ndio jambo jipya likitokea, lakini kwa Mungu wako ni jambo alilolifahamu kabla ajakuumba sasa wewe una uhuru gani kama sio vichekesho
 
Lazima utaelewa tu,naenda na wewe taratibu.

Katika ufanyaji wa matendo ya binadamu kuna mambo mengi sana,ngoja nikugusie kwa uchache,kuna kanuni katika Uislamu inasema hivi "Maombi hubadilisha makadirio" na tumeusiwa sana kuomba mwisho mwema na tufanye matendo mema.

Hakuna anae jua kesho yake ni ipi,ndio maana tumeusiwa sana tufanye mema na msaada wa kufanya upo.

Kwahiyo matokeo yanabadilishwa kwa nyenzo ya akili ambayo itakurudisha katika mafundisho ya dini kwa kuomba msaada kwake. Hizi zote ni nyenzo za kukusaidia wewe,ndio maana huko awali nilikwambia ya kuwa Mola kujua hatima yako ni katika uwezo wake na ujuzi wake na muamuzi wa hatima ni wewe mwenyewe,ndio maana mtume wa Allah akasema hivi " Kila mtu ataingia peponi isipokuwa atakae kataa", hii hadithi inaonyesha uhuru ulio kamilika.

Naweka akiba hapa kwazo nitakuwa nazitoa kadiri ya haja.

Naendelea ........
Ata hayo maombi unayoomba kuyakubali na kuyakataa Mungu wako alishajua toka ujaomba , sasa wewe unaona maombi yako ni jambo jipya , wewe vip ahahahhahahaha huu ni uhuru wa bendera kwasababu chochote unachofanya Mungu wako alishapanga kitokee kabla wewe aujazaliwa, na hakuna wa kubadilisha mipango yake , hakuna uhuru hapo ni vichekesho
 
Nilikwambia huko awali ya kuwa Allah aliye juu yeye ndio ameumba dhambi. Lakini kwa ujinga wako unauliza tena chanzo cha dhambi ?

Kuna kuumba na kuna kufanya,chanzo cha kufanya dhambi ni shetani kwa kuwashawishi waja na ujinga kwa kufata matamanio ya nafsi.

Mathalani nikikuuliza :

Nini chanzo cha kifo cha watu wa morogoro katika tukio la mlipuko wa Lorry la mafuta ya Petrol ? au

Nini sababu ya kifo cha watu wa Morogoro katika tukio la mlipuko wa Lorry la mafuta ya Petrol ?

Maswali haya mawili utayajibu vipi ?
Nani kauliza mimi nimekwambia chanzo cha dhambi ni Mungu wako . kama unapinga hili niambie ? sio unaniletea story ambazo azieleweki mara morogoro sijui moto
 
Tusipelekane polisi. Kwa uelewa wangu mdogo yaliyotekea KABLA NA BAADA ya uumbaji Mungu mwenyezi yote alishajua yapo ndani ya uwezo wake.

Aliumba dhambi kwa makusudi yake ili alichokipanga kitimie. Alimuekea Lucifer roho ya wivu ili amuasi, ili amtupe duniani ili akamdanganye mwanadamu dunia idumbikie kwenye dhambi.

Nadhani lengo lake kubwa lilikuwa wanadamu wakumbuke kumuomba, kumlilia, kumuheshimu na kumuogopa.

Bila dhambi tungekuwa tunamchukulia pouwa, na ukuu wake usingetambulikana. Kitendo cha kumtangazia adamu na hawa laana na kumfukuza eden na kuweka malaika wailinde nadhani adamu akaona na kuheshimu nguvu ya Mungu.

UUMBAJI, DHAMBI NA UASI, USALITI YOTE MPANGO WA MUNGU MIPANGO YAKE ITIMIE.
Mipango na matokeo yote anayo kabla ata ajaumba mtu , sasa wewe unakipi cha kubadilisha matokeo yake Mungu wako ? ndio maana nikasema hakuna uhuru hapa ukweli huu mchungu kumeza
 
Back
Top Bottom