Im Me
Member
- Aug 25, 2022
- 16
- 20
Habari wana JF?
Niende moja kwa moja kwenye mada husika. Kwenye maandiko ya dini mbalimbali tunaona Mungu anahamasisha kupendana na kusamehe.
Tunatambua kwamba uadui kati ya Mungu na shetani ulitokana na Shetani (Malaika) kumuasi Mungu.
Je, ikitokea siku shetani akakubali kukiri na kutubu makosa yake na kumuomba msamaha Mungu na kurudi kumsujudia, Je, Mungu atamsamehe shetani?
Kama ni hapana, ni kwanini Mungu hatamsamehe?
Niende moja kwa moja kwenye mada husika. Kwenye maandiko ya dini mbalimbali tunaona Mungu anahamasisha kupendana na kusamehe.
Tunatambua kwamba uadui kati ya Mungu na shetani ulitokana na Shetani (Malaika) kumuasi Mungu.
Je, ikitokea siku shetani akakubali kukiri na kutubu makosa yake na kumuomba msamaha Mungu na kurudi kumsujudia, Je, Mungu atamsamehe shetani?
Kama ni hapana, ni kwanini Mungu hatamsamehe?