Kwanini Mtwara wilaya ya Masasi hakuna takwimu za watoto wanaoacha shule?

kinyamkela mahaba

JF-Expert Member
May 4, 2022
1,181
1,574
Jamani hizi takwimu za wanafunzi huko Kusini Mtwara kuacha shule ni kubwa sana. Yaani zaidi ya wanafunzi 1500, hii siyo ya kufurahia wala kuchekea. Tuwaombee wenzetu.

Ila pamoja na haya, mbona wamezitaja Wilaya za Newala vijijini na Newala Manispaa? Masasi nayo ipo Mtwara, mbona haijatajwa? Kwamba wanafunzi hao wote ni kutoka Newala?

Kwanini Masasi haijatajwa?
 
Sio mtwara pekee ruvuma unaiachaje ukanda ule darasa la 6 wanaamka magheto au nyumba za wanaume kwenda shuleni walimu wakuu wanajua kilakitu wenyeviti kamati zashule wanajua wenyeviti vijiji na mitaa wanajua

Swali lako muhimu Sana , Hawa wataaluma wilaya idara zote mbili msingi na sekondari wakurugenzi wakuu wilaya usalama wilaya na mkoa wakowapi wanafanya nn


Kijiji Cha LIGUNGA tunduru pale ni balaa hovyo kabisa na mipombe yao ya mnanzi na bangi zao
 
Kama viongz unaowataja wanajua wazaz hawajui

Hilo ni jukumu la mzazi nje ya shule mwl awez kufata mwanafunz geto au kuanzisha kesi bila mzaz wake kuhusika

Jamaa ina harbu san
Sio mtwara pekee ruvuma unaiachaje ukanda ule darasa la 6 wanaamka magheto au nyumba za wanaume kwenda shuleni walimu wakuu wanajua kilakitu wenyeviti kamati zashule wanajua wenyeviti vijiji na mitaa wanajua

Swali lako muhimu Sana , Hawa wataaluma wilaya idara zote mbili msingi na sekondari wakurugenzi wakuu wilaya usalama wilaya na mkoa wakowapi wanafanya nn


Kijiji Cha LIGUNGA tunduru pale ni balaa hovyo kabisa na mipombe yao ya mnanzi na bangi zao
 
Katika vitu vya ajabu nakushangaza kipindi naishi kusini ni kuona siku ya mtihani wa mwisho wa darasa la saba..wazazi wanafanya sherehe kubwa sana na wengine huenda hadi shuleni kusubiria watoto wao wamalize mtihani waondoke nao kwa furaha na bashasha nyingi.

Sikuhiyo vyakula vitapikwa..miziki itakodishwa mabodaboda mtaani watatapakaa njia nzima wakiwa msafara kushindikiza wazazi na watoto wao .

Kumbe lengo kuu ni kufurahi huko ni kwamba sasa mtoto yuko free kwenda kuozeshwa na kama wakiume yuko free kutumwa mjini(dsm) kwenda kutafuta maisha.

Wazazi hufika mbali zaidi kuwashawaishi watoto wao waandike majibu ya uongo katika mitihani yao ili wafeli makusudi kwa malengo tajwa hapo juu.

Hakika kusini kuna mambo ya ajabu sana..elimu dunia kwao ni haramu.

Serikali inakazi kubwa saa kubadilisha mentality za hawa watu.

Wabeja sana.

#MaendeleoHayanaChama
 
Sio mtwara pekee ruvuma unaiachaje ukanda ule darasa la 6 wanaamka magheto au nyumba za wanaume kwenda shuleni walimu wakuu wanajua kilakitu wenyeviti kamati zashule wanajua wenyeviti vijiji na mitaa wanajua

Swali lako muhimu Sana , Hawa wataaluma wilaya idara zote mbili msingi na sekondari wakurugenzi wakuu wilaya usalama wilaya na mkoa wakowapi wanafanya nn


Kijiji Cha LIGUNGA tunduru pale ni balaa hovyo kabisa na mipombe yao ya mnanzi na bangi zao
Utawasingizia bure hao wataaluma..mwanachi wenyewe ndio hawana mwamko na hawapendi tu elimu dunia..inawachewesha kuoana na kuzaana...kusini kukuta binti wamiaka 18 kaachika mara 3 kawaida sana..huki kila mtoto na babayake.

#MaendeleoHayanaChama
 
Utawasingizia bure hao wataaluma..mwanachi wenyewe ndio hawana mwamko na hawapendi tu elimu dunia..inawachewesha kuoana na kuzaana...kusini kukuta binti wamiaka 18 kaachika mara 3 kawaida sana..huki kila mtoto na babayake.

#MaendeleoHayanaChama
Twende kwenye swali lamsingi ,wanaotakiwa kuandaa takwimu hizo ni wazazi endapo takwimu zotatolewa ndipo kushitukiwa kwa jambo madam/dear sir au nakosea
 
Katika vitu vya ajabu nakushangaza kipindi naishi kusini ni kuona siku ya mtihani wa mwisho wa darasa la saba..wazazi wanafanya sherehe kubwa sana na wengine huenda hadi shuleni kusubiria watoto wao wamalize mtihani waondoke nao kwa furaha na bashasha nyingi.

Sikuhiyo vyakula vitapikwa..miziki itakodishwa mabodaboda mtaani watatapakaa njia nzima wakiwa msafara kushindikiza wazazi na watoto wao .

Kumbe lengo kuu ni kufurahi huko ni kwamba sasa mtoto yuko free kwenda kuozeshwa na kama wakiume yuko free kutumwa mjini(dsm) kwenda kutafuta maisha.

Wazazi hufika mbali zaidi kuwashawaishi watoto wao waandike majibu ya uongo katika mitihani yao ili wafeli makusudi kwa malengo tajwa hapo juu.

Hakika kusini kuna mambo ya ajabu sana..elimu dunia kwao ni haramu.

Serikali inakazi kubwa saa kubadilisha mentality za hawa watu.

Wabeja sana.

#MaendeleoHayanaChama
Yaan watu kufurahia watoto wao kumaliza hatua fulani ya elimu ni kitu cha ajabu?
Mbona hapa Dar watu wanafanya tafrija watoto kumaliza vidudu??
Punguza chuki za kisenge mzee baba.
 
Kama viongz unaowataja wanajua wazaz hawajui

Hilo ni jukumu la mzazi nje ya shule mwl awez kufata mwanafunz geto au kuanzisha kesi bila mzaz wake kuhusika

Jamaa ina harbu san
TZ-1

sikia nimefika nimejionea maeneo hayo hofu kupigwa juju hao watumishi lakini kwann hatakwasiri isifanyike LIGUNGA hicho Kijiji ndipo Kuna mtu alipigwa kifungu Cha maisha gerezani kwa kuishi na mtoto wa darasa la tatu amemharibu na mtoto nilimwona kabisa Hadi kwao nitakupeleka ukitaka

Mtatilo yupo pale lakini sijui kwann ukishaingia ktk mfumo kilakitu kinapotea
 
Katika vitu vya ajabu nakushangaza kipindi naishi kusini ni kuona siku ya mtihani wa mwisho wa darasa la saba..wazazi wanafanya sherehe kubwa sana na wengine huenda hadi shuleni kusubiria watoto wao wamalize mtihani waondoke nao kwa furaha na bashasha nyingi.

Sikuhiyo vyakula vitapikwa..miziki itakodishwa mabodaboda mtaani watatapakaa njia nzima wakiwa msafara kushindikiza wazazi na watoto wao .

Kumbe lengo kuu ni kufurahi huko ni kwamba sasa mtoto yuko free kwenda kuozeshwa na kama wakiume yuko free kutumwa mjini(dsm) kwenda kutafuta maisha.

Wazazi hufika mbali zaidi kuwashawaishi watoto wao waandike majibu ya uongo katika mitihani yao ili wafeli makusudi kwa malengo tajwa hapo juu.

Hakika kusini kuna mambo ya ajabu sana..elimu dunia kwao ni haramu.

Serikali inakazi kubwa saa kubadilisha mentality za hawa watu.

Wabeja sana.

#MaendeleoHayanaChama
Wake zao wanahitimu darasa la 7 hapo watu waliolipa Mali mapema kishika uchumba wanachukua wakezao
 
Wanafunzi wengi wa ukanda wa pwani wanaenda shule kwa sababu wazazi wao wanawalazimisha na serikali inataka waende shule tofauti na hapa hawataki kabisa
 
Back
Top Bottom