Kwanini mtu akiwa CCM mnamuita chawa?

Kwanini mtu akiwa CCM mnamuita chawa?

Apewe na hii ya uzinduzi wa chawa wa mama DSM
1713278173906.png
 
Kupinga kila kitu siyo kujenga hoja wala si kushawishi umati, ila ni kufanya uchochezi ✍️

Jambo lingine, kwanini kutukana mnaita kupinga kwa hoja?

Kukejeli mnaita kupinga kwa hoja?

Kudhalilisha mnaita kupinga kwa hoja?

Mtu kuamini usichoamini, mnaita kukaririshwa?

Mtu kuwa CCM mnaita uchawa?

Kila chenu ni hoja, kila cha wenzenu ni ubaya.

Silaha pekee mnazozitegemea ni udhalilishaji na kutafuta watu kasoro.... Alooo!

View attachment 2965445
MaCCM wote ni machawa kwa luwa wanajali maisha yao zaidi ya maisha ya watanzania walio wengi
 
Kupinga kila kitu siyo kujenga hoja wala si kushawishi umati, ila ni kufanya uchochezi ✍️

Jambo lingine, kwanini kutukana mnaita kupinga kwa hoja?

Kukejeli mnaita kupinga kwa hoja?

Kudhalilisha mnaita kupinga kwa hoja?

Mtu kuamini usichoamini, mnaita kukaririshwa?

Mtu kuwa CCM mnaita uchawa?

Kila chenu ni hoja, kila cha wenzenu ni ubaya.

Silaha pekee mnazozitegemea ni udhalilishaji na kutafuta watu kasoro.... Alooo!

View attachment 2965445
Nikushauri tu, JF ina watu wa kila aina na wa kila itikadi. Kuna watu wana data humu za hatari. Kuna watu wallishasakwa na serikali humu kisa makolokolo ya bandarini huko waliyaweka humu. Hivyo, unapoweka bandiko lolote, uhakikishe una data za kujibu hoja za watu. Usije ukaingia humu kwa kukaririshwa mambo yaliyo nje ya humu halafu ukataka watu waende unavyotaka..!!! JIPANGE KWA HOJA, VINGINEVYO UTACHEKESHA KILA SIKU UNAYOPOST KITU HUMU.
 
usisikilize ya mtandaoni binti yangu

kua mzalendo kwa taifa na ishi katika ilani ya chama cha mapinduzi sanjari na kuilinda katiba ya jamuhuri ya mungano wa tanzania
 
Kupinga kila kitu siyo kujenga hoja wala si kushawishi umati, ila ni kufanya uchochezi ✍️

Jambo lingine, kwanini kutukana mnaita kupinga kwa hoja?

Kukejeli mnaita kupinga kwa hoja?

Kudhalilisha mnaita kupinga kwa hoja?

Mtu kuamini usichoamini, mnaita kukaririshwa?

Mtu kuwa CCM mnaita uchawa?

Kila chenu ni hoja, kila cha wenzenu ni ubaya.

Silaha pekee mnazozitegemea ni udhalilishaji na kutafuta watu kasoro.... Alooo!

View attachment 2965445
Chawa si tu kwa mtu anakua na mahusiano na chama fulani, ni mtu anaesifu kupitiliza, kusifia kuliko pitiliza mtu au kitu au jambo ambalo dhahiri ni kinyume na maadili, sheria, tamaduni na taraibu

Chawa ni pale anapo utoa utu wake muahanga ili kusifia jambo fulani lisilo sahihi machoni pa jamii
 
Nikushauri tu, JF ina watu wa kila aina na wa kila itikadi. Kuna watu wana data humu za hatari. Kuna watu wallishasakwa na serikali humu kisa makolokolo ya bandarini huko waliyaweka humu. Hivyo, unapoweka bandiko lolote, uhakikishe una data za kujibu hoja za watu. Usije ukaingia humu kwa kukaririshwa mambo yaliyo nje ya humu halafu ukataka watu waende unavyotaka..!!! JIPANGE KWA HOJA, VINGINEVYO UTACHEKESHA KILA SIKU UNAYOPOST KITU HUMU.
JF ndo jukwaa la watabe hapa Tanzania. Hata Twitter haingii ndani.

Humu unapewa dozi alafu watu wanakuacha kama hawakujui
 
Comrade Mwashambwa akiona post hii atabubujikwa na machozi ya furaha wallahi. Raha sana kuwa chawa wa CCM! 😁😁😁👇


 
Kupinga kila kitu siyo kujenga hoja wala si kushawishi umati, ila ni kufanya uchochezi ✍️

Jambo lingine, kwanini kutukana mnaita kupinga kwa hoja?

Kukejeli mnaita kupinga kwa hoja?

Kudhalilisha mnaita kupinga kwa hoja?

Mtu kuamini usichoamini, mnaita kukaririshwa?

Mtu kuwa CCM mnaita uchawa?

Kila chenu ni hoja, kila cha wenzenu ni ubaya.

Silaha pekee mnazozitegemea ni udhalilishaji na kutafuta watu kasoro.... Alooo!

View attachment 2965445

Kupinga kila kitu siyo kujenga hoja wala si kushawishi umati, ila ni kufanya uchochezi ✍️

Jambo lingine, kwanini kutukana mnaita kupinga kwa hoja?

Kukejeli mnaita kupinga kwa hoja?

Kudhalilisha mnaita kupinga kwa hoja?

Mtu kuamini usichoamini, mnaita kukaririshwa?

Mtu kuwa CCM mnaita uchawa?

Kila chenu ni hoja, kila cha wenzenu ni ubaya.

Silaha pekee mnazozitegemea ni udhalilishaji na kutafuta watu kasoro.... Alooo!

View attachment 2965445
Jina chawa lina jieleza
 
Back
Top Bottom