Kwanini mtu akiwa CCM mnamuita chawa?

Kwanini mtu akiwa CCM mnamuita chawa?

Kupinga kila kitu siyo kujenga hoja wala si kushawishi umati, ila ni kufanya uchochezi [emoji3578]

Jambo lingine, kwanini kutukana mnaita kupinga kwa hoja?

Kukejeli mnaita kupinga kwa hoja?

Kudhalilisha mnaita kupinga kwa hoja?

Mtu kuamini usichoamini, mnaita kukaririshwa?

Mtu kuwa CCM mnaita uchawa?

Kila chenu ni hoja, kila cha wenzenu ni ubaya.

Silaha pekee mnazozitegemea ni udhalilishaji na kutafuta watu kasoro.... Alooo!

View attachment 2965445
Mbona hujaandika namba ya simu

Sent from my AMN-LX9 using JamiiForums mobile app
 
Ccm wanaweza nini?

Umeme eameshindea

maji wameshidwa

ajiira wameshindwa

Barbara wameshinfwa

maafa wameshinfwa

katiba mpya, tume huru, na muungano wameshindwa

ongezea hapo chini
katibahaiwekichakula-jpeg.2965844
 
Kupinga kila kitu siyo kujenga hoja wala si kushawishi umati, ila ni kufanya uchochezi ✍️

Jambo lingine, kwanini kutukana mnaita kupinga kwa hoja?

Kukejeli mnaita kupinga kwa hoja?

Kudhalilisha mnaita kupinga kwa hoja?

Mtu kuamini usichoamini, mnaita kukaririshwa?

Mtu kuwa CCM mnaita uchawa?

Kila chenu ni hoja, kila cha wenzenu ni ubaya.

Silaha pekee mnazozitegemea ni udhalilishaji na kutafuta watu kasoro.... Alooo!

View attachment 2965445
Tunamuita au anajiita Chawa?
WanaCCM wenyewe walijipa hilo jina, wakaona fahari, wakaanzisha hizo harakati.

Nje ya mada.
Nimeona picha hapo, uko vizuri, ni chombo, umependeza.
 
Kupinga kila kitu siyo kujenga hoja wala si kushawishi umati, ila ni kufanya uchochezi ✍️

Jambo lingine, kwanini kutukana mnaita kupinga kwa hoja?

Kukejeli mnaita kupinga kwa hoja?

Kudhalilisha mnaita kupinga kwa hoja?

Mtu kuamini usichoamini, mnaita kukaririshwa?

Mtu kuwa CCM mnaita uchawa?

Kila chenu ni hoja, kila cha wenzenu ni ubaya.

Silaha pekee mnazozitegemea ni udhalilishaji na kutafuta watu kasoro.... Alooo!

View attachment 2965445
Nakuona binti unakivamia chama kwa kasi ya ajabu! Nakuonya mapema kabla mambo hayajakuharibikia kabisa. Kumbuka tu ccm ni Chama Cha Mafisi.
 
Kupinga kila kitu siyo kujenga hoja wala si kushawishi umati, ila ni kufanya uchochezi [emoji3578]

Jambo lingine, kwanini kutukana mnaita kupinga kwa hoja?

Kukejeli mnaita kupinga kwa hoja?

Kudhalilisha mnaita kupinga kwa hoja?

Mtu kuamini usichoamini, mnaita kukaririshwa?

Mtu kuwa CCM mnaita uchawa?

Kila chenu ni hoja, kila cha wenzenu ni ubaya.

Silaha pekee mnazozitegemea ni udhalilishaji na kutafuta watu kasoro.... Alooo!

View attachment 2965445
Si kweli kwamba wanaCCM wote ni chawa hapana. Chawa ndani ya CCM ni wale ambao kazi yao ni kusifia tu hata pale maamuzi mabovu yanapofanywa na viongozi. Nia yao si ustawi wa nchi hisipokuwa uwasifia viongozi kwa nia ya kukumbukwa. Ni watu wanaotafuta kunufaika kupitia kujipendekeza kwa viongozi. Ni wale ambao akili zao wazima kwa viongozi, hawawezi kuwaza wala kuhoji. Kila kitu kwao ni ndiyooo hata pasipostahili. Ni wabishi bila hoja, na ni wakali pale host wao anapokosolewa. Actually ni watu wasiyokuwa na faida kwa kizazi hiki.
 
Kupinga kila kitu siyo kujenga hoja wala si kushawishi umati, ila ni kufanya uchochezi ✍️

Jambo lingine, kwanini kutukana mnaita kupinga kwa hoja?

Kukejeli mnaita kupinga kwa hoja?

Kudhalilisha mnaita kupinga kwa hoja?

Mtu kuamini usichoamini, mnaita kukaririshwa?

Mtu kuwa CCM mnaita uchawa?

Kila chenu ni hoja, kila cha wenzenu ni ubaya.

Silaha pekee mnazozitegemea ni udhalilishaji na kutafuta watu kasoro.... Alooo!

View attachment 2965445
Labda utueleze nakutuelkkisha katika yafuatayo
1.Sheria ya uchaguzi iko kwa maslahi ya nani?
2.Kikokotoo kipo kwa maslahi ya nani?
3.Sheria ya mafao kwa wastaafu ni kwa maslahi ya nani?
4.Recycle ya viongozi wabovu ni kwa maslahi ya nani?
5.Kuongoza kwa miaka zaidi ya 60 na nchi kuendelea kua kataka orodha ya nchi masikini ni kwa maslahi ya nani?

Hayo ni baadhi ya mengi ambayo mnawaumiza wananchi wenye nchi yao iliyojaliwa utajiri usio na kifani.

Siasa za matusi nyie ndio waasisi kwa wale wote wasiokubaliana na nyie hivyo nikuendelezo wa yale mliyoyatengeneza mifano iko mingi vijana kwa wazee wakitukana msiowapenda mmekua mnawapa zawadi ya vyeo kama mashujaa wa chama kama watetezi wa chama nonsense kabisa leo hii kinachofanyika hata huyo anaetukana alipotukana wengine watu walikaa kimya ndio mana a concern person anapoona injustice lazima akemee kwa nguvu kubwa lakini ukiona haikuhusu matokeo yake ndio leo tunaona imekua dhambi kubwa kabisa.
Mlikua wapi Musiba alipokua akidhalilisha watu je mlisimama na nani? Au kwakua waliokua wakitukanwa hawakua wenu mkaona mko salama?
Tujifunze kua wakweli nyakati zote ili kuliokoa Taifa mana wajinga na wapumbavu wako kila pahala CCM,Serikalini,Upinzani,Wanaharakati,Watu wa dini,wanawake na wanaume,vijana hivyo sasa tukemee haya mambo mabaya nyakati zote sio mpaka watu tunaowapenda au walio upande wetu wakiguswa basi dhambi ndio iwe kubwa sana na hapo ndio inapokuja dhana ya uchawa kuamua kusifia kila kitu nakufumbia macho maovu kwakua unaowapenda nakuwaheshimu wamefanya kuogopa kuonekana msaliti kwakusema ukweli huo ndio uchawa.
Leo hii nyie hamuwezi kujadili madudu yaliyomo katika report ya CAG kwakua mmechagua kona moja yakusifia tu,na kama mmeamua kuteleleza haki yenu kwa namna hiyo basi na nyie muwaheshimu wale waliochagua kukosoa tu.Lakini usisifie kwakutweza utu wa wengine na wanokosoa wasikosoe kwa kutweza utu wa wengine huo msingi lazima uzingatiwe na pande zote mana hii ni nchi yetu sote hakuna mwenye umuhimu zaidi ya mwenzie.
 
Kupinga kila kitu siyo kujenga hoja wala si kushawishi umati, ila ni kufanya uchochezi [emoji3578]

Jambo lingine, kwanini kutukana mnaita kupinga kwa hoja?

Kukejeli mnaita kupinga kwa hoja?

Kudhalilisha mnaita kupinga kwa hoja?

Mtu kuamini usichoamini, mnaita kukaririshwa?

Mtu kuwa CCM mnaita uchawa?

Kila chenu ni hoja, kila cha wenzenu ni ubaya.

Silaha pekee mnazozitegemea ni udhalilishaji na kutafuta watu kasoro.... Alooo!

View attachment 2965445
SIO WOTE NI WALE PUNGUANI WANAOSIFIA MPAKA UJINGA
 
Kupinga kila kitu siyo kujenga hoja wala si kushawishi umati, ila ni kufanya uchochezi ✍️

Jambo lingine, kwanini kutukana mnaita kupinga kwa hoja?

Kukejeli mnaita kupinga kwa hoja?

Kudhalilisha mnaita kupinga kwa hoja?

Mtu kuamini usichoamini, mnaita kukaririshwa?

Mtu kuwa CCM mnaita uchawa?

Kila chenu ni hoja, kila cha wenzenu ni ubaya.

Silaha pekee mnazozitegemea ni udhalilishaji na kutafuta watu kasoro.... Alooo!

View attachment 2965445
Vijimaneno viingi nyuma ya pazia mnatukana na kuwalipa watu wamtukane mwenyekiti wenu wanafiki wakubwa nyie
 
Back
Top Bottom