Kwanini mtu akitapika husikia njaa mara moja tofauti na akienda haja kubwa?

Mzee wa hat-trick

JF-Expert Member
Nov 21, 2016
1,730
2,388
Ni mara nyingi hutokea mtu akala chakula fulani na yakatokea mambo mawili mabaya, kutapika au kuharisha ( japo pia sio lazima kutokea).

Mtu inapotokea amekula tu halafu akatapika, mara nyingi husema: YAN NIMEKULA CHAKULA LAKINI NIKAKITOA CHOTE. Na mara nyingi hufuatiwa na mtu huyo kusikia njaa tena na mwili kuwa mchovu.

Hali huwa tofauti kwa mtu aliyeharisha. Huwezi kusikia mtu amesikia njaa baada ya kuharisha, na wala huwezi kumsikia kulalamika kukitoa chakula chote hta kama tumbo lilichafuka baada tu ya kumaliza kula chakula.
 
Kutapika mara nyingi unatoa chakula ambacho bado hakijameng'enywa bado.So hakijaingizwa kwenye mfumo wa chakula cha ziada kama akiba ya mwili.
Kunya maana yake unatoa uchafu,vitu visivyohitajika mwilini.
 
Kwa elimu yangu ndogo ni kwamba ukiharisha chakula kinakuwa kimeshameng'enywa na kimeahaondoka kutoka tumbo la chakula na kipo kwenye utumbo ila ukitapika kinakuwa bado hakijameng'enywa na hivyo mwili haujapata cho chote. Maelexo ni mengi ila kwa ufupi ndivyo nielewavyo. Sorry km sijaweza kukuelimisha utakavyo.
 
Ni mara nyingi hutokea mtu akala chakula fulani na yakatokea mambo mawili mabaya, kutapika au kuharisha ( japo pia sio lazima kutokea).

Mtu inapotokea amekula tu halafu akatapika, mara nyingi husema: YAN NIMEKULA CHAKULA LAKINI NIKAKITOA CHOTE. Na mara nyingi hufuatiwa na mtu huyo kusikia njaa tena na mwili kuwa mchovu.

Hali huwa tofauti kwa mtu aliyeharisha. Huwezi kusikia mtu amesikia njaa baada ya kuharisha, na wala huwezi kumsikia kulalamika kukitoa chakula chote hta kama tumbo lilichafuka baada tu ya kumaliza kula chakula.
Sasa wewe unataka ibadilike au iweje?
 
Kwa elimu yangu ndogo ni kwamba ukiharisha chakula kinakuwa kimeshameng'enywa na kimeahaondoka kutoka tumbo la chakula na kipo kwenye utumbo ila ukitapika kinakuwa bado hakijameng'enywa na hivyo mwili haujapata cho chote. Maelexo ni mengi ila kwa ufupi ndivyo nielewavyo. Sorry km sijaweza kukuelimisha utakavyo.
 
Ni mara nyingi hutokea mtu akala chakula fulani na yakatokea mambo mawili mabaya, kutapika au kuharisha ( japo pia sio lazima kutokea).

Mtu inapotokea amekula tu halafu akatapika, mara nyingi husema: YAN NIMEKULA CHAKULA LAKINI NIKAKITOA CHOTE. Na mara nyingi hufuatiwa na mtu huyo kusikia njaa tena na mwili kuwa mchovu.

Hali huwa tofauti kwa mtu aliyeharisha. Huwezi kusikia mtu amesikia njaa baada ya kuharisha, na wala huwezi kumsikia kulalamika kukitoa chakula chote hta kama tumbo lilichafuka baada tu ya kumaliza kula chakula.
Kwani Mkuu mwenzetu ww ukitapika unatapika mavi au chakula ulichokila muda si mrefu? Na je ukienda haja kubwa huwa unaipata ulikula muda c mrefu? Kama ni hivyo unahara
 
Kwani Mkuu mwenzetu ww ukitapika unatapika mavi au chakula ulichokila muda si mrefu? Na je ukienda haja kubwa huwa unaipata ulikula muda c mrefu? Kama ni hivyo unahara
Mimi aisee huwa sichukui hata dk 5. Tumbo langu linajibu fasta sn aisee, ndio maana siwezagi kula njiani nikiwa safari na basi, labda private. Na huwa siwezi kula hovyo hovyo mitaani kwa mama ntilie au hata kunywa juice (home made) za kutembezwa kitaa.
 
Kwa elimu yangu ndogo ni kwamba ukiharisha chakula kinakuwa kimeshameng'enywa na kimeahaondoka kutoka tumbo la chakula na kipo kwenye utumbo ila ukitapika kinakuwa bado hakijameng'enywa na hivyo mwili haujapata cho chote. Maelexo ni mengi ila kwa ufupi ndivyo nielewavyo. Sorry km sijaweza kukuelimisha utakavyo.
Well said
 
Back
Top Bottom