Kwanini mtu akifeli kimaisha anakuwa "sadist"

Kwanini mtu akifeli kimaisha anakuwa "sadist"

Nilipokuwa shule ya msingi nilikuwa nikifaulu marafiki zangu walikuwa wanaumia hata walikuwa wananitenaga huku wakinambia naringa, najiona sana siku hizi na maneno mengine mengi yasiyo na ukweli.

Siku Moja nikaamua kufeli makusudi Ili kuwapima rafiki zangu, walipoona vile walifurahi sana na kunirudisha kundini, tangu siku hiyo matokeo yangu nilikuwa simwoneshi mtumatokeo yangu ya mtihani Ili ku maintain urafiki wa mashaka.

Hawa watu walikuwepo, wapo na watakuwepo.
 
Back
Top Bottom