Mwizukulu mgikuru
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 6,364
- 15,148
Hali hii mara nyingi naiona hasa kwa watu wazima wenye umri kuanzia miaka 40 na kuendelea, unakuta kapambana sana hapo nyuma Kuna fursa alizipata akazichezea matokeo yake anakuwa na hali flani mbovu ya kiuchumi .
Sasa kinachokuja kutokea hapa kila atakaekuwa anakutana nae na anapitia maumivu flani basi utamuona sura yake inakuwa na bashasha au tabasamu pana. Sidhani kama hiyo hali inawasaidia .
Sasa kinachokuja kutokea hapa kila atakaekuwa anakutana nae na anapitia maumivu flani basi utamuona sura yake inakuwa na bashasha au tabasamu pana. Sidhani kama hiyo hali inawasaidia .