Rogojin The Idiot
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 2,704
- 3,036
Ma V8 ana darasa la uongozi π π π π π πKwani mwanakati huru mzee Musiba na mzee wa VIEITEE slowslow wameshawahi kudharauliwa?
Ma V8 ana darasa la uongozi π π π π π πKwani mwanakati huru mzee Musiba na mzee wa VIEITEE slowslow wameshawahi kudharauliwa?
Mkuu hata wewe una fake ID zako lukuki tu. Sema hii ukiitumia ni kama unakanyaga nge na nyoka.Kudharauliwa na watu waliojificha kwenye fake IDs ni sawa na kudharauliwa na "Watu Wasiojulikana." π
Sisi hatuwafahamu hao watu.Bado sijaelewa nguvu hasa ya JF, bali ushahidi wa wazi unaonyesha kwamba ukishadharauliwa kwenye Jukwaa la siasa, kiuhakika ni kama unakuwa umedharauliwa dunia nzima, ukipuuzwa kwenye jukwaa hili ujue kabisa umepuuzwa kijijini kwenu, wilayani hadi mkoani na usipojirekebisha waweza kuwa ndio ushapuuzwa milele.
Mifano ya watu waliopuuzwa kwanza hapa jf na baadaye wakapuuzwa kwao na dunia nzima ni mingi, Hakuna haja ya kutaja hadharani, bila shaka hapa jf wanafahamika.
Bali swali langu ni hili , hii JF na hasa Jukwaa la siasa lina nguvu gani kiasi cha kuteka dunia nzima?
Jasusi umeniblock TLKudharauliwa na watu waliojificha kwenye fake IDs ni sawa na kudharauliwa na "Watu Wasiojulikana." π
Kudharauliwa na watu waliojificha kwenye fake IDs ni sawa na kudharauliwa na "Watu Wasiojulikana." π
SwadaktaWatu wamejificha kwenye ID fake lakini mawazo na mitazamo yao sio fake.
Vinginevyo JF isingekya na maana hata kidogo.
Kinachoangaliwa zaidi ni hoja, sio nani.
UMEMALIZA MASTER πsiri ni moja, kwa sababu ya fake ID watu hutoa maoni yao ya kweli (honest opinion) au tunaskia inner voice za watu kupitia maandishi,
kwakuwa ni home of great thinkers wakifikia hatua ya kukudharau, means hata kwa wale wanaokujua in real life ID lazima wakudharau
una uhakika kwamba kila mtu anatimia ID Bandia ?Yaani unataka kila unachofikiria ww kiwe sawa kwa kila MTU kichwani mwake?otherwise watu unafundisha watu ramli chonganishi.
Humu kila MTU anatumia ID bandia sasa tutajuaje Fulani ndie kadharaulika hapa na kadharaulika mtaani pia?
Thread bila picha ni ubuyu bila Babu IssaBado sijaelewa nguvu hasa ya JF, bali ushahidi wa wazi unaonyesha kwamba ukishadharauliwa kwenye Jukwaa la siasa, kiuhakika ni kama unakuwa umedharauliwa dunia nzima, ukipuuzwa kwenye jukwaa hili ujue kabisa umepuuzwa kijijini kwenu, wilayani hadi mkoani na usipojirekebisha waweza kuwa ndio ushapuuzwa milele.
Mifano ya watu waliopuuzwa kwanza hapa jf na baadaye wakapuuzwa kwao na dunia nzima ni mingi, Hakuna haja ya kutaja hadharani, bila shaka hapa jf wanafahamika.
Bali swali langu ni hili , hii JF na hasa Jukwaa la siasa lina nguvu gani kiasi cha kuteka dunia nzima?
Bado sijaelewa nguvu hasa ya JF, bali ushahidi wa wazi unaonyesha kwamba ukishadharauliwa kwenye Jukwaa la siasa, kiuhakika ni kama unakuwa umedharauliwa dunia nzima, ukipuuzwa kwenye jukwaa hili ujue kabisa umepuuzwa kijijini kwenu, wilayani hadi mkoani na usipojirekebisha waweza kuwa ndio ushapuuzwa milele.
Mifano ya watu waliopuuzwa kwanza hapa jf na baadaye wakapuuzwa kwao na dunia nzima ni mingi, Hakuna haja ya kutaja hadharani, bila shaka hapa jf wanafahamika.
Bali swali langu ni hili , hii JF na hasa Jukwaa la siasa lina nguvu gani kiasi cha kuteka dunia nzima?
Hiyi ID ndio jina lako unalotumia mtaani?una uhakika kwamba kila mtu anatimia ID Bandia ?