Kwa iyo mtu kumuita kwa sifa yake ni kumuingilia uhuru wake?Unaingilia uhuru wake
Mlevi anaweza kuwa mtu yeyote mwenye URAIBU wa kitu chochote. So unapomwambia mtu ni mlevi ni kwamba unamwambia wewe ni mgonjwa unahitaji TIBA. Ni tusi, ni kejeli na ni dharau. Sio kila mnywa pombe ni mlevi na sio kila mlevi ni mlevi wa pombe.Habar zenu wadau.
Katika utafiti wangu mdogo nilioufanya nimegundua wanyaji wengi wa pombe ukiwaita walevi wanakasirika japo sio wote ila % kubwa wapo ivo.
Kwanini wakasirike wakat ni walevi kweli hii imekaaje wadau?
Kunywa sio kulewa.. ngono sio ndoaHabar zenu wadau.
Katika utafiti wangu mdogo nilioufanya nimegundua wanyaji wengi wa pombe ukiwaita walevi wanakasirika japo sio wote ila % kubwa wapo ivo.
Kwanini wakasirike wakat ni walevi kweli hii imekaaje wadau?
😂😂 Mkuu kula milo 3 hakumfanyi mtu aitwe mlafiMkuu wewe nina uhakika unakula chakula asubuhi, mchana, jioni.. unafikiri utafurahi tukikuita "mlafi" sio kila nywaji ni mlevi.
Ninavyojua mimi mtu yoyoyte anaekunywa pombe na akalewa huyu ni mleviWewe unaona hayo mawili yanafanana?
Jina sahihi hapo ni mlaji na sio mlafi.Mkuu wewe nina uhakika unakula chakula asubuhi, mchana, jioni.. unafikiri utafurahi tukikuita "mlafi" sio kila nywaji ni mlevi.
Ww apo 😂Acha upumbavu,Nani mlevi?😞
Malizia sentence yako bc kunywa nin sio kulewa?Kunywa sio kulewa.. ngono sio ndoa
Mkuu umehitimisha mjadala uzi ufungwe sasa 😂😂😂Watu wengi hawapendi kuitwa walevi kwa sababu ulevi sio sifa njema!
Mlevi ni tusi. Addict ni kuwa wewe umepitil;iza katika hali ya kawaida ya wanadamu wanaokunywa, unakwenda kwenye extreme kupoteza utu/heshima and the like. Hivyo ukimwambia mtu kuwa ni mlevi, atakuponda ponda kwa mawe.Habar zenu wadau.
Katika utafiti wangu mdogo nilioufanya nimegundua wanyaji wengi wa pombe ukiwaita walevi wanakasirika japo sio wote ila % kubwa wapo ivo.
Kwanini wakasirike wakat ni walevi kweli hii imekaaje wadau?
Hawapendi ila huu wimbo ukipigwa wakiwa disco wanaimba kwa nguvu kweliHatunaga noma na mtu na mtu ndio tunaimbaga wimbo huu kwa nguvu Sana:
Sisi ni waleviiiiii×2,tunapenda kamnyweshooooooooo.
Huo ndo mtazamo wa wa walevi wengi kudhani kwamba neno mlevi ni tusi ila sio uhalisia ulivyo neno mlevi sio tusiMlevi ni tusi. Addict ni kuwa wewe umepitil;iza katika hali ya kawaida ya wanadamu wanaokunywa, unakwenda kwenye extreme kupoteza utu/heshima and the like. Hivyo ukimwambia mtu kuwa ni mlevi, atakuponda ponda kwa mawe.
Addict aliyekwambia ina maana ya ulevi ni nani??Mlevi ni tusi. Addict ni kuwa wewe umepitil;iza katika hali ya kawaida ya wanadamu wanaokunywa, unakwenda kwenye extreme kupoteza utu/heshima and the like. Hivyo ukimwambia mtu kuwa ni mlevi, atakuponda ponda kwa mawe.