Tekelinalokujia
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 353
- 40
Yaani wewe katika kufikiri kwako kote ukaona sababu ya udini tuu? katafute kwingine kwa kuchokonyoa,na utoe hayo mawazo ktk tafakuri zako zingine.
Sipendi unavyochangia mada,jaribu kutumia logic,dini hapa haina nafac na ungefikiri kidogo ucngechezea mambo ya diniHata kama ningekuwa mie zitto nisingemwachia ofisi kwani non-christians uwezo wenu wakufanya kazi haupo bali gahawa na tende ndo mnaweza. Kwa hiyo hata ofisi zingine ingekuwa uwezo wangu mngeshapisha watu serious wafanye kazi kujenga uchumi uliopotea japo nyimbo za unapaa zinaendelea
Zitto amezidi majigambo ya kishamba yule ndiyo maana wenzake wanampotezea tu. Akijirekebisha tutakuwa tunampa akaimu, asipojirekebisha alie tu.
Mara kwa mara tumeona na kusikia John Mnyika akikaimu nafasi ya Katibu Mkuu wa CHadema.
Protokali ziko wazi kuwa Naibu Katibu MKuu hupaswa kukaimu nafasi ya Katibu Mkuu pindi katibu Mkuu anapokuwa hayupo.
Hili halifanyiki Chadema. Je Zitto haaminiki? Hana uwezo wa kushika nafasi hiyo nyeti? Au ni dini yake inamponza?
Na kwanini yeye mwenyewe yupo kimya halalamiki mtu wa chini yake kuwa bosi wake kwa muda chamani?
Slaa(PhD) na Zitto ni member humu, nawaomba watatue huu utata.kama zito mwenyewe anaona hakuna tatizo wewe shida yako nini?acha majungu na umbeya wewe wenyewe wanajua wanachofanya kaka.
.....hamna utata wowote hapa, haya ni majungu, ndani ya chama twawala, wanaita fitina!!! uzipeleke huko huko walikozoea (kwenye magamba)Mara kwa mara tumeona na kusikia John Mnyika akikaimu nafasi ya Katibu Mkuu wa CHadema.
Protokali ziko wazi kuwa Naibu Katibu MKuu hupaswa kukaimu nafasi ya Katibu Mkuu pindi katibu Mkuu anapokuwa hayupo.
Hili halifanyiki Chadema. Je Zitto haaminiki? (alikuwa anaumwa) Hana uwezo wa kushika nafasi hiyo nyeti? (anao) Au ni dini yake inamponza? (haya majungu sasa)
Na kwanini yeye mwenyewe yupo kimya halalamiki mtu wa chini yake kuwa bosi wake kwa muda chamani? (kwa sababu haimpunguzii credibility)
Slaa(PhD) na Zitto ni member humu, nawaomba watatue huu utata
Yaani wewe katika kufikiri kwako kote ukaona sababu ya udini tuu? katafute kwingine kwa kuchokonyoa,na utoe hayo mawazo ktk tafakuri zako zingine.
Zitto bado ana ID
Kwenye red ndipo lilipo lengo lako kuu, poor you.
wewe inaelekea kuna jibu unalitafuta, maana unauliza swali, unapewa jibu hutaki kuelewa. Si "add" hapo juu amekuwekea jibu ambalo alilitoa Zitto mwenyewe kwenye twitter kwamba hayupo Tanzania? sasa wewe unataka akaimishwaje tena?Wakuu mimi sio gamba na sitakuwa gamba. Swali hili ni muhimu kujibiwa kwa umakini. Zitto mwenyewe alishawahi kunukuliwa akilalamika udini unamtengenezea maadui ndani ya chama. Na hili la Mnyika kukaimu sio mara ya kwanza. Hii sababu ya ugonjwa sioni kama ina mantiki kwa sababu kwenye ukatibu hakuna kazi ya kubeba zege, ni busara na maamuzi tu. Kama Zitto aliweza kuongea na media alipotoka India na bado akaenda kufungua kongamano la vijana wa kiafrika lililoandaliwa kwa ushirikiano na Bavicha sioni kama ana ugonjwa unaomfanya asiweze kukaimu ukatibu mkuu. Hata kama Dokta Slaa alienda kuuguza familia kipindi ambacho Zitto alikuwa India bado Zitto baada ya kurudi alipaswa kukaimu hiyo nafasi.
Kuna jambo cdm hawataki kuliweka wazi kuhusu Zitto. Ni kama vile haaminiki!
ED and not ID point of correction.Zitto bado ana ID