Ninae mmoja nimeingia nae kwenye mahusiano kwa sasa hata mtoa mada akimuona lazima amtake kwanza bonge la shape ukimix na lile takooo siopowa na anajua mapenz balaa kiukweli na simama na single maza hata muwaseme vip nitasimama nao mbaka mwisho
 
Ukifanya umavi lazima uandamwe, ungapaswa ujiulize mbona wanawake waliojitunza hawaandamwi?

Kulinganisha mwanaume na mwanamke ni dalili ya upumbavu,

Baadaye utauliza mbona mwanaume akikojoa hainami si ndio?
Kwaiyo wanaojitunza ndo hawazai?
 
Back
Top Bottom