toa hiyo nyuchi hapo andika mzee wa nyeto, na napata cha asubuhi mda huuMzee wa nyuchi & Nyuke Mr dronedrake unaitwa huku utoe mawazo yako mkuu!
Kwaiyo wanaojitunza ndo hawazai?Ukifanya umavi lazima uandamwe, ungapaswa ujiulize mbona wanawake waliojitunza hawaandamwi?
Kulinganisha mwanaume na mwanamke ni dalili ya upumbavu,
Baadaye utauliza mbona mwanaume akikojoa hainami si ndio?