Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,355
Khaa! wee mwali kwa kumtetea babuyo nakuaminia...........nakumbuka ulivyonitetea kwa bibi baada ya kunikuta nacheza rugby na kale karafiki kako ulokuja nako wakati uko likizo ya fom srii.duhhhhh
Huruma kidogo basi ..
babu ana mbavu mbili tu uje umpe tackle..
halafu dahhhhh...
naona unajiitia CSI... ngoja nkimbie...