Kwanini mliachana hebu tuambie

Kwanini mliachana hebu tuambie

I was not happy with the relation i had to stay true to myself...
 
nilikua nampenda lakini alikua na mwingine huku akinifanya wa akiba nikaona utumwa nashukuru mungu aliweza kunipatia mwingine haraka sana na niliempata alisaidia mm kumsahau huyu wa zamani na hadi sasa nipo nae nampenda sana kutoka moyoni mwangu
 
Wa kwanza alimegwa kutokana na umbali, hakunisaliti ila alinambia ukweli kua nimeshindwa kuvumilia.

Wa pili aliolewa kutokana na shinikizo la wazazi.

Watatu hajamegwa na wala hajaolewa, (200% sure) lakini kutokana na kumuonesha ukweli jinsi ninavompenda kutokea moyoni na hamna zaidi yake, basi inamfanya alie kila siku na kuachana na mimi kisa anaogopa isije siku bahati mbaya akatereza ataniumiza vibaya sana itampelekea atajiua maana hataki hata siku moja aniumize kwahiyo ni bora tuachane.

Ukitaka kum define mwanamke hauwezi. Mie hata siwaelewi kabisa hawa watu kwa kweli. lol

Nipo alone kwa sasa ila Vacancy is Closed. lol

Story of my life. Welcome to my world.
 
Alinicheat,nlipogundua tukafanya mazungumzo ya aman na huyo mdada aliyenicheat nae,mwanaume alipogundua kama nimejua na nimewasiliana na huyo dada akaniambia " kukucd huna hadhi ya kua na mimi muache huyo dada ndiye ninayempenda" hyo ni baada ya miaka 5 ya mahusiano then baada ya miez 6 ananiambia "baby am sorry,i love u,naomba second chance" aarggh hivi nyie wanaume sa nyngne mnakuaga mmelogwa au vp! Go to hell najua upo humu na unaijua id yangu,sahau kuhusu kupewa second chance m.j.i.n.g.a wewe.... Sasaiv kwangu your like a cheap bag with no value!uliniona wanin sasa nakuona wakazi gani.
 
Last edited by a moderator:
Alinicheat,nlipogundua tukafanya mazungumzo ya aman na huyo mdada aliyenicheat nae,mwanaume alipogundua kama nimejua na nimewasiliana na huyo dada akaniambia " kukucd huna hadhi ya kua na mimi muache huyo dada ndiye ninayempenda" hyo ni baada ya miaka 5 ya mahusiano then baada ya miez 6 ananiambia "baby am sorry,i love u,naomba second chance" aarggh hivi nyie wanaume sa nyngne mnakuaga mmelogwa au vp! Go to hell najua upo humu na unaijua id yangu,sahau kuhusu kupewa second chance m.j.i.n.g.a wewe.... Sasaiv kwangu your like a cheap bag with no value!uliniona wanin sasa nakuona wakazi gani.

umeongea kwa hisia sana mkuu!!
 
Last edited by a moderator:
Alinicheat,nlipogundua tukafanya mazungumzo ya aman na huyo mdada aliyenicheat nae,mwanaume alipogundua kama nimejua na nimewasiliana na huyo dada akaniambia " kukucd huna hadhi ya kua na mimi muache huyo dada ndiye ninayempenda" hyo ni baada ya miaka 5 ya mahusiano then baada ya miez 6 ananiambia "baby am sorry,i love u,naomba second chance" aarggh hivi nyie wanaume sa nyngne mnakuaga mmelogwa au vp! Go to hell najua upo humu na unaijua id yangu,sahau kuhusu kupewa second chance m.j.i.n.g.a wewe.... Sasaiv kwangu your like a cheap bag with no value!uliniona wanin sasa nakuona wakazi gani.

tena usithubutu kumpa second chance ,sa si aende kwa wenye hadhi yake, katendwa huko anataka kuja kupotezea mawazo yake kwako shenzzz kabisa
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom