Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 67,977
- 95,297
Aisee afuu we mbona unatoka nje ya maada? Haya niambie CUF walipata kura ngapi kule Igunga.Ulishawai kuona Jinsi wachezaji wa Rugby wakipasha kabla ya Mechi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee afuu we mbona unatoka nje ya maada? Haya niambie CUF walipata kura ngapi kule Igunga.Ulishawai kuona Jinsi wachezaji wa Rugby wakipasha kabla ya Mechi?
Sababu hapa itakua Rugby tu ODMNyie watu wawili hapo juu. ODM yuko hapa anawaangalieni stepu zenu........... Ole wenu mkiachana afu msinipe sababu za kuachana....
bongo hii au kwa watasha?kabisa..
nacheza na kuangalia..
Nipo ndani ya maada maana Rugby inachukua nafasi si ndio?Aisee afuu we mbona unatoka nje ya maada? Haya niambie CUF walipata kura ngapi kule Igunga.
Sasa siyo mnacheza Rugby afu mnaachana na vitumbo vimevimba. Afrodenzi aliniahidi uzao wake wa kwanza lazima abinjue mapacha watatu lakini siyo wa CCM...........Vigezo na masharti kuzingatiwa.Sababu hapa itakua Rugby tu ODM
Nfundishe kiduku ..
ntakufundisha jinsi ya ku tackle..
hata kwenye ule mchezo unao fanana na rugby..
Ulishawai kuona Jinsi wachezaji wa Rugby wakipasha kabla ya Mechi?
Rugby ya ki Iraq
Babu una nguvu wewe?
Kwa hiyo ODM unaniambiaje hapa kwa Afro? nisimuache si ndio?Sasa siyo mnacheza Rugby afu mnaachana na vitumbo vimevimba. Afrodenzi aliniahidi uzao wake wa kwanza lazima abinjue mapacha watatu lakini siyo wa CCM...........Vigezo na masharti kuzingatiwa.
Kwa hiyo ili tusiachane tuache kufumaniana siyo?Nipo ndani ya maada maana Rugby inachukua nafasi si ndio?
Ngoja nitoe sababu moja ya watu kuachana "Kufumania"
Haka kajukuu kakiwa kwenye siku zake za kwenda angani huwa sikaelewielewi..... ngoja nifanye unajimu kwanza.......Mkuu Aspirin,unamwelewaje hapa mjukuu wako AD?
Nyie watu wawili hapo juu. ODM yuko hapa anawaangalieni stepu zenu........... Ole wenu mkiachana afu msinipe sababu za kuachana....
Tena usisahau kuninywesha kwa lile bilauri uliloniagizia toka Shanghai.....nami ntakuwa nakukagua wakati unaninywesha ili nguvu iongezeke zaidi na zaidi........tutamnywesha vitu vizuri kwanza....
halafu hata skia maumivu...
Aisee unaulizia sidiria kwenye manyonyo?Kwa hiyo ODM unaniambiaje hapa kwa Afro? nisimuache si ndio?
Ndio hivyo babu.Kwa hiyo ili tusiachane tuache kufumaniana siyo?
Yeyote yule amfumaniaye ampendaye anatenda zambi juu ya nafsi yake, Asema ODM , na hataurisi ufalme wa Rugby ya kitandani. Watu wote waseme Amina.
Sababu hapa itakua Rugby tu ODM
bongo hii au kwa watasha?
ODM umeona sababu ya mkuu hapo? nipe uzoefu wako!Maudhi, kutoa penzi kwa masharti, kuwasiliana na wengine usiku wa manane, pia kilianza kuwa baridi