Kwanini Mkuu wa majeshi hutokea JWTZ pekee?

Kwanini Mkuu wa majeshi hutokea JWTZ pekee?

Janja mchawi lugha tu na mazoea ya kuitumia lugha hiyo kikuda, ipo hivi kimombo CDF ni chief of defencive forces ambapo kimatumbi fasaha ilitakiwa aitwe Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na sio kuishia tu Mkuu wa majeshi kama ilvyozoeleka na ndo sababu inaleta tafran kidizaini. Sasa ukichekecha medulla janja langu utaona polisi , magereza na waliobakia yanaweza kuwa majeshi kwa tafsiri lakini sio ya ulinzi.Nikisema ulinzi na maanisha mipaka umenisoma janja wade?
Kwa kuongeza majeshi ya ulinzi yamegawanyika katika kamandi za ardhini, majini na angani. CDF ni inchaji wa majeshi yote ya ardhini, majini na angani..
 
Hivi wewe ni kiraza ama ni zumbukuku wa maarifa? Namana hujui kwamba hizo ni taasisi mbili tofauti na majukumu tofauti. umewahi kuona toka lini kocha wa basketball akaenda kufundisha football. polisi wanamajukumu yao na mkuu wao, pia na wajashi wanamajukumu yao na mkuu wao, hata mafunzo yao hayafanani kwa kiasi kikubwa. kuhusu usalama wa taifa inahitaji mjumuisho wa mambo mengi. usishangae hata muuza madafu pale kariakoo ni usalama wa taifa au hizi mbususu tunazopishana nazo kila siku mtaani zingine ni usalama wa taifa. so unapaswa kuwa makini na tamaa za kijinga, funga zipu nyege zitakuponza.
We jamaa😄
 
CDF ni mkuu wa majeshi yanayojumisha Land force, Airforce na Navy tu. Hana Amri Wala mamlaka huko Upolisini na wenzake. Ndio msingi wa swali lako.
 
Military ni Moja TU nayo ni jwtz, hayo mengine sio majeshi or military .
Police sio military.
Magereza sio military .
Fire sio jeshi
Uhamiaji sio jeshi.

Halafu hili swala nalitafutia Kujua kwa nini na nani alianza kuviata polisi, magereza uhamiaji, zima moto eti ni majeshi.
Haingii akilini na haina mantiki.

Bakita waje watoe ufanunuzi hapa
Soma Katiba utaelewa kwanini nayo ni majeshi, acha kutoa tafsiri yako kichwani
 
Military ni Moja TU nayo ni jwtz, hayo mengine sio majeshi or military .
Police sio military.
Magereza sio military .
Fire sio jeshi
Uhamiaji sio jeshi.

Halafu hili swala nalitafutia Kujua kwa nini na nani alianza kuviata polisi, magereza uhamiaji, zima moto eti ni majeshi.
Haingii akilini na haina mantiki.

Bakita waje watoe ufanunuzi hapa
Fire na uhamiaji walishatolewa kwenye ujeshi, polisi na magereza ni majeshi na yanamiliki silaha za kivita
 
Hivi wewe ni kiraza ama ni zumbukuku wa maarifa? Namana hujui kwamba hizo ni taasisi mbili tofauti na majukumu tofauti. umewahi kuona toka lini kocha wa basketball akaenda kufundisha football. polisi wanamajukumu yao na mkuu wao, pia na wajashi wanamajukumu yao na mkuu wao, hata mafunzo yao hayafanani kwa kiasi kikubwa. kuhusu usalama wa taifa inahitaji mjumuisho wa mambo mengi. usishangae hata muuza madafu pale kariakoo ni usalama wa taifa au hizi mbususu tunazopishana nazo kila siku mtaani zingine ni usalama wa taifa. so unapaswa kuwa makini na tamaa za kijinga, funga zipu nyege zitakuponza.
Umeandika kama mwanamke kutoka Makolola Tanga
 
Tanzania ina Jeshi moja tu ambalo ni JWTZ na ndani yake kuna Majeshi makuu matatu ambayo ni Land Force, Navy Force na Air Force na kila Jeshi lina mkuu wake. Mkuu wa Majeshi ni mkuu wa Majeshi hayo yote.

Jeshi kwa kizungu huitwa Military. Military ni neno linalojumuisha Land force, Navy force na Air force na mkuu wake huitwa Military Chief au mkuu wa Majeshi.
 
Back
Top Bottom