Miguel255
Member
- May 13, 2020
- 35
- 111
Habari.
Kuna kitu huwa najiuliza sipati maybe ni cha kawaida kwenu ila naomba leo mnijuze.
Kwanini mkuu wa majeshi mara zote huwa anatoka JWTZ. Kwanini asitoke jeshi la polisi au jeshi la uhamiaji? Hii imekaaje kaaje?
Kuna wakati fulani kipinidi cha hayati Raisi Magufuli. Mkurugenzi wa Usalama wa taifa alichaguliwa kutoka jeshi la polisi. Sasa kwenye huu ukuu wa majeshi mbona huwa anatokea sehemu moja tu?
La pili naomba kujua. Je, Mkuu wa majeshi ni mkuu wa majeshi yote yaani polisi, uhamiaji, magereza, tiss na fire au anakuwa mkuu wa majeshi fulani pekee?
Mwenye kujua naomba anijuze tafadhali
Kuna kitu huwa najiuliza sipati maybe ni cha kawaida kwenu ila naomba leo mnijuze.
Kwanini mkuu wa majeshi mara zote huwa anatoka JWTZ. Kwanini asitoke jeshi la polisi au jeshi la uhamiaji? Hii imekaaje kaaje?
Kuna wakati fulani kipinidi cha hayati Raisi Magufuli. Mkurugenzi wa Usalama wa taifa alichaguliwa kutoka jeshi la polisi. Sasa kwenye huu ukuu wa majeshi mbona huwa anatokea sehemu moja tu?
La pili naomba kujua. Je, Mkuu wa majeshi ni mkuu wa majeshi yote yaani polisi, uhamiaji, magereza, tiss na fire au anakuwa mkuu wa majeshi fulani pekee?
Mwenye kujua naomba anijuze tafadhali